Four years down the line, bado msimamo wako ni huu?Niliposoma hapo tu sijaendelea kupoteza muda wangu wa kusoma habari yote.
Angetangulia kuwapa AS Roma angalau copa italia ningeelewa ulichoandika
Wabongo wanaona karibu sana !Four years down the line, bado msimamo wako ni huu?
Wacha weee !!!Kitu ambacho hujui ni kwamba Roma wanakikosi kizuri na balanced kuliko livapunga, kama upo tayari sema tuende mchezaji mmoja mmoja
Weee ! sema thuuu !ameshindwa suarez ijekuwa huyo
Respect Sana kwako mkuuHawa ndio Wachezaji wa Makombe sasa
Uzi wa pili huu jamaa anapiga pale pale... Kuanzia uzi wa arteta naona anaona mbali aseeeRespect Sana kwako mkuu
Sana jamaa hua namfatilia Sana anajua Sana ballUzi wa pili huu jamaa anapiga pale pale... Kuanzia uzi wa arteta naona anaona mbali aseee
amenRespect Sana kwako mkuu
Kaka una undugu na MWASIBU?Niliposoma hapo tu sijaendelea kupoteza muda wangu wa kusoma habari yote.
Angetangulia kuwapa AS Roma angalau copa italia ningeelewa ulichoandika
Ombi lako linafanyiwa kaziMkuu Erythrocyte(RBC) Kwanini usiachane na mambo ya siasa ujikite na uchambuzi wa Mpira kama Ramadhan Mbwaduke anajipigia pesa nzuri saivi.
Maana naona kwenye soka una jicho pevu zaidi huko Siasani utapoteza muda tu maana kile chama kitatawala mpaka 2080
Sent from my SM-G998U using JamiiForums mobile app
We jamaa niajeNiliposoma hapo tu sijaendelea kupoteza muda wangu wa kusoma habari yote.
Angetangulia kuwapa AS Roma angalau copa italia ningeelewa ulichoandika