Mohamed Salah ni Mchezaji wa kuchungwa sana EPL

Mohamed Salah ni Mchezaji wa kuchungwa sana EPL

Mkuu Erythrocyte(RBC) Kwanini usiachane na mambo ya siasa ujikite na uchambuzi wa Mpira kama Ramadhan Mbwaduke anajipigia pesa nzuri saivi.

Maana naona kwenye soka una jicho pevu zaidi huko Siasani utapoteza muda tu maana kile chama kitatawala mpaka 2080

Sent from my SM-G998U using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Erythrocyte(RBC) Kwanini usiachane na mambo ya siasa ujikite na uchambuzi wa Mpira kama Ramadhan Mbwaduke anajipigia pesa nzuri saivi.

Maana naona kwenye soka una jicho pevu zaidi huko Siasani utapoteza muda tu maana kile chama kitatawala mpaka 2080

Sent from my SM-G998U using JamiiForums mobile app
Ombi lako linafanyiwa kazi
 
Back
Top Bottom