Mohamed Seleman afungwa jela maisha kwa kulawiti mtoto wa miaka minne

Mohamed Seleman afungwa jela maisha kwa kulawiti mtoto wa miaka minne

Kwa mazingira yetu ya bongo ni rahisi sana mtu kusingiziwa kesi ya ubakaji na ulawiti.
 
Halafu baadae huyo mtoto akiwa shoga utasikia ni shauri ya chanjo za wamarekani ,au utasikia ni vitabu vya juma kapuya foundation
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa.
 
Zee zima hovyo limekula michumvi ya kutosha limeona haitoshi linataka kuharibu vizazi vijavyo kwa kuwaachia ushoga, watu km hao ni wa kunyongwa..!! Halafu ndio mnapiga kelele kuhusu ushoga!!! Mmeona waharibifu na wazalishaji hao mashoga.
Hapo atakuwa kawaingilia watoto wangapi ambao taarifa zao hazikuwekwa wazi?? Wanaume ni viumbe vikatili sana!! Kuna mmoja kampanda ng’ombe hana hata wasiwasi ptyuuuuuu [emoji2961][emoji2961][emoji2961]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee uduguu una nn lakinii? Khaaah
 
Hizi case za ulawiti zimeshamiri sana, na nyingi zikiwa za kusingiziwaa. Lol

Inaogopesha mnoo,
 
Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Lindi imemhukumu Mohamed Said Selemani mwenye umri wa miaka 62 mkazi wa kijiji cha Ng'apa wilaya ya Lindi, kwenda jela kutumikia kifungo cha maisha na kumlipa muhanga fidia ya shilingi 1,000,000/= kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka 4 jinsia ya kiume.

Mtuhumiwa alitenda kosa hili Aprili 22, 2024 huko kijiji cha Ng'apa wilaya ya Lindi na kumsababishia maumivu makali kwa muhanga.

Hukumu hiyo ya kesi namba 11774 ya mwaka 2024 imetolewa na hakimu mkazi wa mahakama hiyo Maria Batulaine huku upande wa Jamhuri uliokuwa ukiongozwa na John Remi ambapo ulileta mashahidi watano pamoja na vielelezo karatasi ya Polisi fomu namba 3 (PF 3) pamoja na cheti cha kuzaliwa.

Mtuhumiwa huyo alifikishwa kwenye mahakama hiyo Mei 06, 2024 na kusomewa shitaka lake ambapo alikana shitaka.

View attachment 3016882
Kama ww ni mwanaume hizi kesi za kubaka na kulawiti sio za kuzifurahia maana kuna siri nzito kwenye hizi kesi hawa wanawake tunaishi nao tu ila ni zaidi ya shetani haya matukio mengi ni ya kutengenezwa hayana uhalisia kwasababu ya migogoro ya kifamilia ndio inasababisha yote hayo.
 
Kama ww ni mwanaume hizi kesi za kubaka na kulawiti sio za kuzifurahia maana kuna siri nzito kwenye hizi kesi hawa wanawake tunaishi nao tu ila ni zaidi ya shetani
Kumbuka aliyelawitiwa ni mtoto wa miaka 4 wa jinsia ya kiume. Sijajua hoja ya mwanamke inaigiaje hapo
 
Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Lindi imemhukumu Mohamed Said Selemani mwenye umri wa miaka 62 mkazi wa kijiji cha Ng'apa wilaya ya Lindi, kwenda jela kutumikia kifungo cha maisha na kumlipa muhanga fidia ya shilingi 1,000,000/= kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka 4 jinsia ya kiume.

Mtuhumiwa alitenda kosa hili Aprili 22, 2024 huko kijiji cha Ng'apa wilaya ya Lindi na kumsababishia maumivu makali kwa muhanga.

Hukumu hiyo ya kesi namba 11774 ya mwaka 2024 imetolewa na hakimu mkazi wa mahakama hiyo Maria Batulaine huku upande wa Jamhuri uliokuwa ukiongozwa na John Remi ambapo ulileta mashahidi watano pamoja na vielelezo karatasi ya Polisi fomu namba 3 (PF 3) pamoja na cheti cha kuzaliwa.

Mtuhumiwa huyo alifikishwa kwenye mahakama hiyo Mei 06, 2024 na kusomewa shitaka lake ambapo alikana shitaka.

View attachment 3016882
Shida ni nini!?
Au ni magonjwa ya akili!?Mbona mambo haya yameshamiri sana!?
 
Kumbuka aliyelawitiwa ni mtoto wa miaka 4 wa jinsia ya kiume. Sijajua hoja ya mwanamke inaigiaje hapo
Namaanisha baadhi ya wanawake walio kwenye ndoa wanawategeshea waume zao kesi za ulawiti kwasababu zao binafsi.
 
😂 😂 😂
Mbona Jukwaa la Sports, Mods vipi jamani mmelala? Alafu wakati mwingine watu huwa wanapost picha za utupu humu. Mods Kuweni makini basi
Mpaka muda huu upo jukwaa la sport kana kwamba alikuwa striker wa Utopolo kitambo miaka ya 70's
 
Hii kesi ilitawaliwa na hisia Ndio maana mzee kapigwa Kufuli la kutu hilo. Kesi within 3 months imeisha. Proof ni PF 3 . Kesi imejaa Mabinti wadogo, asingetoboa.
Ila good kwa uendeshaji wa kesi za jinai kwa muda mfupi wenzetu wa kusini.
Sasa waendeshe kesi zote hivo. Hamna sehemu inaongoza kesi kuwa ndefu kama kusini. Mahabusu wanatumia hadi miaka nane kupata hukumu, 90% of the cases.
Alafu wengi huachiwa almost 30% ya kesi za huko.
Jambo la kutafakarisha sana
 
Hii kesi ilitawaliwa na hisia Ndio maana mzee kapigwa Kufuli la kutu hilo. Kesi within 3 months imeisha. Proof ni PF 3 . Kesi imejaa Mabinti wadogo, asingetoboa.
Ila good kwa uendeshaji wa kesi za jinai kwa muda mfupi wenzetu wa kusini.
Sasa waendeshe kesi zote hivo. Hamna sehemu inaongoza kesi kuwa ndefu kama kusini. Mahabusu wanatumia hadi miaka nane kupata hukumu, 90% of the cases.
Alafu wengi huachiwa almost 30% ya kesi za huko.
kama wameipua akienda court of appeal ataachiwa
 
Back
Top Bottom