Leo hii ni nadra sana katika vyombo vya habari kupata sauti ya wanahabari shupavu, kila mwanahabari ana maslahi yake hawajali kama wanahabari wa zamani..!Kiukweli huyu jamaa tangu nimjue ameniteka sana kwa makali zake zisizo na chembe ya uoga. Mohammed Alli ni wa kipekee sana kwa kweli
Kabisa mkuu.!Kitu chochote Ukiamua kukifanya kwa bidii na haki kisha ukikipenda kiukweli kinakutoa,Hata ukiamua kuuza nazi au vitumbua,ukiheshimu unachokifanya utafika mbali,Huyu jamaa alijijengea jina kubwa katika tasnia ya habar naweza kusema Afrika mashariki yote,Akiamua kuifuatilia habari hata kama ingekuwa inamuhusu nani,ataweka kila kitu bayana bila kukwepesha,All the best Mr Alli
wengi sasa hivi hawawez kutafuta habar,sana sana atachungulia Jf,CNN,BBC nk ndio maana ukiangalia magazeti mfano asubuhi yote kichwa cha habar ni kiomja tu,yaani unaweza tabiri kesho wataandika nini alafu nyingi hazijengi,Alli ana utaalam wa kutafuta habari adimu na alikuwa anajitoa kweli kweliKabisa mkuu.!
Taaluma hii imevamiwa na watu wasiothamini kazi hii, kwa akina Ali kwao ni mwito ila kwa wengine ni biashara na maslahi
Kila nikitaza runinga nashangaa kuwakosa maripota kama Mohamed Ali.
Wee kwani uko ni mukenya..?nitamchangia yupo vizuri
Taarifa za leo zimejaa ukakasi mwingi sana, waandishi hawaulizi masuali ya maana kwa viongozi kwa vile njama za kuwalinda watu au Serikali zimeandaliwa ili kulazimisha agenda zao..!wengi sasa hivi hawawez kutafuta habar,sana sana atachungulia Jf,CNN,BBC nk ndio maana ukiangalia magazeti mfano asubuhi yote kichwa cha habar ni kiomja tu,yaani unaweza tabiri kesho wataandika nini alafu nyingi hazijengi,Alli ana utaalam wa kutafuta habari adimu na alikuwa anajitoa kweli kweli
Uchunguzi wake katika habari ulikuwa wa kiwango cha juu mno..!Mohammed Alli alikua vizuri sana kwenye habari za uchunguzi hasa ile ajali ya helkopta issue ya saitoti na kwahuku kwetu aliyekua ajitahidi alikua Muro ingawaje alipata vigingi vikamkwamisha