Mohammed Dewji na mashabiki wa Simba wanastahili lawama

Mohammed Dewji na mashabiki wa Simba wanastahili lawama

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Kitendo cha Mo kusema ametumia bilioni 3 kuleta kipa bomu, ni utapeli wa waziwazi, matokeo yake kipa hapangwi, anachezeshwa mgonjwa!

Utashangaa hakuna shabiki anaeuliza hili kisa ni Mo! Watasingizia lawama hata kwa Mwenyekiti Mswahili mradi Mhindi huyu asiguswe!

Halafu wale mashabiki waliokuwa wanashiriki kumvunja moyo na kumtukana Onyango wakati ndio alikuwa beki bora wa timu, hatimaye jana mmevuna fitina yenu!
 
Kitendo cha Mo kusema ametumia bilioni 3 kuleta kipa bomu ...ni utapeli wa waziwazi..
Matokeo Yale kipa hapangwi...anachezeshwa mgonjwa .... utashangaa hakuna shabiki anaeuliza hili kisa ni Mo...
Watasingizia lawama hata Kwa Mwenyekiti mswahili mradi Mhindi huyu asiguswe...


Halafu wale mashabiki waliokuwa wanashiriki kumvunja Moyo na kumtukana Onyango....wakati ndo alikuwa beki Bora wa timu...hatimae Jana mmevuna fitina yenu...
Aaahahhh
 
Mo ana usanii sana
Ameongea sana Hamisi Kigwangala, mkaingiza siasa, mkamtukana sana, mkamsimanga eti kwa vile hakupewa mkopo wa pikipiki sijui baiskeli.

Team ya simba ina watu wajinga wa mwisho nchi hii.

Mo hajaweka chochote kwenye team.
Mlivyowajinga mkaandikiwa Hundi isiyo na jina la banki.

Tena kibaya zaidi zikija pesa za CAF ndio kwanza anazipokea yeye🤣🤣🤣🤣😂

Simba inachumwa mchana kutwa,
cocastic GENTAMYCINE OKW BOBAN SUNZU Kalpana
#MTAANI MASHABIKI MNATAKA KUJINYONGA...WAJINGA SANA#
 
Simba was defiled yesterevening.
FB_IMG_1699241409064.jpg
 
Hiki kichapo ndicho kitakachowafumbua macho wanachama wengi wa Simba, simba kuna kipindi ilikuwa na usajili wa kuungaunga lakini haikuwahi kupata fedheha kama hii. Anang'ang'ania awe mwekezaji pekee lakini anasajili kitapeli. Aache wawekezaji wanaotaka kuwekeza na sio kununua wanachama wachache wanaomtetea kwa ujinga wake.
 
Hiki kichapo ndicho kitakachowafumbua macho wanachama wengi wa Simba, simba kuna kipindi ilikuwa na usajili wa kuungaunga lakini haikuwahi kupata fedheha kama hii. Anang'ang'ania awe mwekezaji pekee lakini anasajili kitapeli. Aache wawekezaji wanaotaka kuwekeza na sio kununua wanachama wachache wanaomtetea kwa ujinga wake.
Chawa wa Mwamedi hapa Jukwaani OKW BOBAN SUNZU
 
Kitendo cha Mo kusema ametumia bilioni 3 kuleta kipa bomu, ni utapeli wa waziwazi, matokeo yake kipa hapangwi, anachezeshwa mgonjwa!

Utashangaa hakuna shabiki anaeuliza hili kisa ni Mo! Watasingizia lawama hata kwa Mwenyekiti Mswahili mradi Mhindi huyu asiguswe!

Halafu wale mashabiki waliokuwa wanashiriki kumvunja moyo na kumtukana Onyango wakati ndio alikuwa beki bora wa timu, hatimaye jana mmevuna fitina yenu!
Onyango alikuwa anaficha madhaifu ya inonga

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom