political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Mimi kila siku nasema apa pale amna mtoaji hela yule muhindi yupo pale kutangaza biashara zake eti ametoa 3 billion yani mihindi atoe 3 billion..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunapenda simba inavyochumwa mkuu.Ameongea sana Hamisi Kigwangala, mkaingiza siasa, mkamtukana sana, mkamsimanga eti kwa vile hakupewa mkopo wa pikipiki sijui baiskeli.
Team ya simba ina watu wajinga wa mwisho nchi hii.
Mo hajaweka chochote kwenye team.
Mlivyowajinga mkaandikiwa Hundi isiyo na jina la banki.
Tena kibaya zaidi zikija pesa za CAF ndio kwanza anazipokea yeye🤣🤣🤣🤣😂
Simba inachumwa mchana kutwa,
cocastic GENTAMYCINE OKW BOBAN SUNZU Kalpana
#MTAANI MASHABIKI MNATAKA KUJINYONGA...WAJINGA SANA#
🤣Chawa wa Mwamedi hapa Jukwaani OKW BOBAN SUNZU
Duh ndio maana Mwamedi na Ahmed Ally wanawadanganya kweupe halafu mnafurahia,alikuwa namba moja wapi?Kwani unadhani Ayoub thamani yake ni ipi?
Umtoe kipa namba moja wa Bingwa wa Morroco, unadhani atakuwa ana thamani gani?
Duh,alitakaje sasa ? Atashtakiwa ajiangalie 😂😂Nasikia kocha wa Yanga amekasirika hajaridhishwa na matokeo, aisee, huyu mwamba atawaua makolo
Mo ana usanii sana
Badala ya kujibu hoja kila saa unapost huo ujinga sasa kuna tofauti gani wewe na hao unaowaita hivo
Hiyo ni kazi yangu mimi?Duh ndio maana Mwamedi na Ahmed Ally wanawadanganya kweupe halafu mnafurahia,alikuwa namba moja wapi?