Mohammed Dewji na mashabiki wa Simba wanastahili lawama

Mohammed Dewji na mashabiki wa Simba wanastahili lawama

Ameongea sana Hamisi Kigwangala, mkaingiza siasa, mkamtukana sana, mkamsimanga eti kwa vile hakupewa mkopo wa pikipiki sijui baiskeli.

Team ya simba ina watu wajinga wa mwisho nchi hii.

Mo hajaweka chochote kwenye team.
Mlivyowajinga mkaandikiwa Hundi isiyo na jina la banki.

Tena kibaya zaidi zikija pesa za CAF ndio kwanza anazipokea yeye🤣🤣🤣🤣😂

Simba inachumwa mchana kutwa,
cocastic GENTAMYCINE OKW BOBAN SUNZU Kalpana
#MTAANI MASHABIKI MNATAKA KUJINYONGA...WAJINGA SANA#
Tunapenda simba inavyochumwa mkuu.
Vipi yanga mwaumia nini?
 
20231106_140357.jpg
 
Hii ya Onyango watu tuliongea saaana humu ndani.
 
Na kwanini.. wanasimba mkamwambia infantino mwenye kiti wa klabu ni Mo nasio Mzee wetu Mangungu.

Kazi ipo.. ngoma bado mbichi😅
 
Back
Top Bottom