Mohammed Hussein ni moja ya mzigo na udhaifu wa Simba

Mohammed Hussein ni moja ya mzigo na udhaifu wa Simba

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Katika tathmini yangu ya uchezaji na mchango wa Mohammed Hussein kwa timu ya Simba, uchezaji wake umekuwa unaleta makosa mengi kwa timu.

Mfano katika mechi ya leo, Zimbwe alifanya makosa mengi sana. Yaani inafikia wakati kila akipata mpira, unategemea kuna ujinga ataenda kufanya. Akiwa anakaba lazima atafanya kosa.

Kuna kona alisababisha kipindi cha kwanza, yuko nje ya goli, mchezaji pinzani yuko mbali, akautoa mpira nje akiwa peke yake ili iwe kona!

Akiwa uwanjani anajiamini sana kama vile anafanya vitu vya maana ila ni moja ya mapungufu ya timu kwa sasa.
 
Kmmk yaani hata kucheza hujawi ila unaongea upuumbafu Sana kwenu jema Ni lipi ??mtu yoyote anaweza kufanya makosa hata hao unaowaona muhimu nao inafika mahali wanachemka

Unadhani zimbwe alikusudia kuushika mpira

Hata Maguire analalmikiwa lkn siyo kwmaba hawaoni mtu mwingine ninkwmaba wazungu waelewa siyo wee kapuku na wee unajida mchambuzi

Dadek umeniudhi kinomaa mm Ni yanga forever ,ungejuwa maumivu tulio nao hapa ungefunga lidomo lako tu




Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Katika tathmini yangu ya uchezaji na mchango wa Mohammed Hussein kwa timu ya Simba, uchezaji wake umekuwa unaleta makosa mengi kwa timu.

Mfano katika mechi ya leo, Zimbwe akifanya makosa mengi sana. Yaani inafikia wakati kila akipata mpira, unategemea kuna ujinga ataenda kufanya. Akiwa anakaba lazima atafanya faulo.

Leo penati ile haina mantiki yoyote, sijui alikuwa anaulalia mpira ili iweje. Kuna kona alisababisha kipindi cha kwanza, yuko nje ya goli, mchezaji pinzani yuko mbali, akautoa mpira nje akiwa peke yake ili iwe kona.

Akiwa uwanjani anajiamini sana kama vile anafanya vitu vya maana ila ni moja ya mapungufu ya timu kwa sasa.
kwani aliyesababisha penati nibmohamed hussein au kenedy Juma?? go and reverse your game.

mbona unaongea ujinga sana??? hakuna beki 3 tz anayefika ubora wa hata robo tuu ya shabalala
 
Katika tathmini yangu ya uchezaji na mchango wa Mohammed Hussein kwa timu ya Simba, uchezaji wake umekuwa unaleta makosa mengi kwa timu.

Mfano katika mechi ya leo, Zimbwe akifanya makosa mengi sana. Yaani inafikia wakati kila akipata mpira, unategemea kuna ujinga ataenda kufanya. Akiwa anakaba lazima atafanya faulo.

Leo penati ile haina mantiki yoyote, sijui alikuwa anaulalia mpira ili iweje. Kuna kona alisababisha kipindi cha kwanza, yuko nje ya goli, mchezaji pinzani yuko mbali, akautoa mpira nje akiwa peke yake ili iwe kona.

Akiwa uwanjani anajiamini sana kama vile anafanya vitu vya maana ila ni moja ya mapungufu ya timu kwa sasa.
Bora hata ungesema kibu denis ndo hamnazo kabisa mle ndani. Hapo ningekuelewa.
 
kwani aliyesababisha penati nibmohamed hussein au kenedy Juma?? go and reverse your game.

mbona unaongea ujinga sana??? hakuna beki 3 tz anayefika ubora wa hata robo tuu ya shabalala
Ok nimeangalia tena hilo, nakiri hapo nimekosea ila mengine yote niliyosema yanabaki hivyo hivyo. Kabla ya ile penati Zimbwe ndiye aliachwa na mchezaji wa Primeiro, nikachanganya nikidhani yeye ndiye alikuja kunawa.
 
Naheshimu maoni yako Lakini mwangu Zimbwe Jr ni mchezaji bora mwenye mchango mkubwa kwa Simba,
Ana harakati nyingi uwanjani ndiyo maana nikasema anajiamini sana ila harakati zake nyingi zina makosa.
 
Katika tathmini yangu ya uchezaji na mchango wa Mohammed Hussein kwa timu ya Simba, uchezaji wake umekuwa unaleta makosa mengi kwa timu.

Mfano katika mechi ya leo, Zimbwe akifanya makosa mengi sana. Yaani inafikia wakati kila akipata mpira, unategemea kuna ujinga ataenda kufanya. Akiwa anakaba lazima atafanya faulo.

Leo penati ile haina mantiki yoyote, sijui alikuwa anaulalia mpira ili iweje. Kuna kona alisababisha kipindi cha kwanza, yuko nje ya goli, mchezaji pinzani yuko mbali, akautoa mpira nje akiwa peke yake ili iwe kona.

Akiwa uwanjani anajiamini sana kama vile anafanya vitu vya maana ila ni moja ya mapungufu ya timu kwa sasa.
ulichoandika ni zaidi ya UHARO,halafu ukute hata kupiga danadana Kumi huwezi zaidi ya kujua kukuna pumbu tu
 
Back
Top Bottom