SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Katika tathmini yangu ya uchezaji na mchango wa Mohammed Hussein kwa timu ya Simba, uchezaji wake umekuwa unaleta makosa mengi kwa timu.
Mfano katika mechi ya leo, Zimbwe alifanya makosa mengi sana. Yaani inafikia wakati kila akipata mpira, unategemea kuna ujinga ataenda kufanya. Akiwa anakaba lazima atafanya kosa.
Kuna kona alisababisha kipindi cha kwanza, yuko nje ya goli, mchezaji pinzani yuko mbali, akautoa mpira nje akiwa peke yake ili iwe kona!
Akiwa uwanjani anajiamini sana kama vile anafanya vitu vya maana ila ni moja ya mapungufu ya timu kwa sasa.
Mfano katika mechi ya leo, Zimbwe alifanya makosa mengi sana. Yaani inafikia wakati kila akipata mpira, unategemea kuna ujinga ataenda kufanya. Akiwa anakaba lazima atafanya kosa.
Kuna kona alisababisha kipindi cha kwanza, yuko nje ya goli, mchezaji pinzani yuko mbali, akautoa mpira nje akiwa peke yake ili iwe kona!
Akiwa uwanjani anajiamini sana kama vile anafanya vitu vya maana ila ni moja ya mapungufu ya timu kwa sasa.