Mohammed Hussein ni moja ya mzigo na udhaifu wa Simba

Mohammed Hussein ni moja ya mzigo na udhaifu wa Simba

Kuna wachezaji Simba Wana bahati ya kupendwa mkude na Mohamed husein ila wote hao Wana mapungufu makubwa.
Sifa kubwa ya Shabalala ni kupendwa kushambulia lakini mipira yake mingi ya mwisho haiendi inapotakiwa sababu anapenda kukaa na mpira muda mrefu na anapoamua kupiga tayari adui anakuwa amejipanga.
Pasi zake nyingi za uchonganishi, anaweza kuacha kutoa pasi Kwa mchezaji ambaye hajakabwa lakini akatoa pasi Kwa mchezaji aliyekabwa na watu 3.
Hana kasi na anapata shida sana anapokutana na winga mwenye kasi pia ana tabia ya kukaba Kwa macho.
Watu wana mihemko, wanadhani nimeanza kumuangalia MH mechi ya juzi. Hayo yote unayosema ni sahihi kabisa.

Kuna wakati mchezaji ambao walikuwa tegemeo kwa timu lakini kutokana na umri au sababu zingine, kiwango kushuka na anakuwa mzigo zaidi kwa timu. Kwa wachezaji wa namna hiyo ambayo na wewe umesema, inakuwaga ngumu kuwaacha mara moja, kama ilivyotokea kwa Kagere, kwa hiyo si vibaya kuwaazishia benchi na wakawa wanaingia pale madhaifu yao yanapokuwa siyo risky sana.

Tatizo hawa seniors hata nje ya uwanja ni shida huko makambini na wakati mwingine ndiyo vyanzo vya migogoro, ungesema wangeweza kuwa msaada kuwajenga wachezaji wapya kwenye timu.
 
Katika tathmini yangu ya uchezaji na mchango wa Mohammed Hussein kwa timu ya Simba, uchezaji wake umekuwa unaleta makosa mengi kwa timu.

Mfano katika mechi ya leo, Zimbwe alifanya makosa mengi sana. Yaani inafikia wakati kila akipata mpira, unategemea kuna ujinga ataenda kufanya. Akiwa anakaba lazima atafanya kosa.

Kuna kona alisababisha kipindi cha kwanza, yuko nje ya goli, mchezaji pinzani yuko mbali, akautoa mpira nje akiwa peke yake ili iwe kona!

Akiwa uwanjani anajiamini sana kama vile anafanya vitu vya maana ila ni moja ya mapungufu ya timu kwa sasa.
Nenda kachambue wachezaji wa netball
 
Embu niupandishe huu uzi nitaurudia baadae
 
Zimbwe uyuuyu anaebeba Tuzo kila msimu? Au yule Mke wake alikua mali yako? Itakua unahasira za pasono
 
Ki ukweli Kwa Sasa hatuna beki 3 wa timu ya Taifa alipangwa juzi kibwana timu ya Taifa tulipata aibu Leo Zimbwe nae njia tu
Nashangaa wanaomtetea. Mchezaji 95% ya pasi zake anapoteza mpira au pasi za mchongo, anampa mtu aliyokabwa ambaye mchezaji pinzani anakuja kutokea nyuma, huyo ndiyo anampa pasi. Halafu 95% ya tackles zake, anacheza foul.
 
Wanaomtetea wote ni wapuuzi.
Amebaki anachezea jina lakini output ni ndogo mno. Upande wake ni njia sio uchochoro tena
 
JARIBU kumuangalia Aucho anavyotoa Msaada kwa Lomalisa akipanda.

Simba Ina shida kwenye KIUNGO No 6.
 
Katika tathmini yangu ya uchezaji na mchango wa Mohammed Hussein kwa timu ya Simba, uchezaji wake umekuwa unaleta makosa mengi kwa timu.

Mfano katika mechi ya leo, Zimbwe alifanya makosa mengi sana. Yaani inafikia wakati kila akipata mpira, unategemea kuna ujinga ataenda kufanya. Akiwa anakaba lazima atafanya kosa.

Kuna kona alisababisha kipindi cha kwanza, yuko nje ya goli, mchezaji pinzani yuko mbali, akautoa mpira nje akiwa peke yake ili iwe kona!

Akiwa uwanjani anajiamini sana kama vile anafanya vitu vya maana ila ni moja ya mapungufu ya timu kwa sasa.

Acha kumuongelea vby mohamed hussein wang [emoji3064][emoji3064][emoji3590]
 
Goli la pili Zimbwe anaurukia mpira ambao anajua kabisa hawezi kuufikia.

Alitakiwa ajue kuwa hawezi kuufikia hivyo angekimbia mbele ili kumkaba mfungaji.

Zimbwe na Kapombe wanajiamini kupita kiasi na kuelekea kusababisha kufungwa.

Yaani timu ikishambulia wote wanapanda mbele na kuwaacha wafungaji peke yao na Beki 5 na 4 ambao wanashindwa kuwakaba mawinga na wafungaji.

Kapombe na Zimbwe wasipoacha kujiamini Simba itafungwa sana msimu huu.
 
Back
Top Bottom