Huyu jamaa Ni mjinga sna wacha nimu igonore tuWewe umewahi kucheza angalau chandimu!mpira unamambo mengi unawaza kuokoa ,unawaza umpekipa, fikiria vizuri
Mechi tano zilizopita ulitamani Muzamiru aachwe SimbaKatika tathmini yangu ya uchezaji na mchango wa Mohammed Hussein kwa timu ya Simba, uchezaji wake umekuwa unaleta makosa mengi kwa timu.
kwani aliyesababisha penati nibmohamed hussein au kenedy Juma?? go and reverse your game.Katika tathmini yangu ya uchezaji na mchango wa Mohammed Hussein kwa timu ya Simba, uchezaji wake umekuwa unaleta makosa mengi kwa timu.
Mfano katika mechi ya leo, Zimbwe akifanya makosa mengi sana. Yaani inafikia wakati kila akipata mpira, unategemea kuna ujinga ataenda kufanya. Akiwa anakaba lazima atafanya faulo.
Leo penati ile haina mantiki yoyote, sijui alikuwa anaulalia mpira ili iweje. Kuna kona alisababisha kipindi cha kwanza, yuko nje ya goli, mchezaji pinzani yuko mbali, akautoa mpira nje akiwa peke yake ili iwe kona.
Akiwa uwanjani anajiamini sana kama vile anafanya vitu vya maana ila ni moja ya mapungufu ya timu kwa sasa.
Thread closed.!!kwani aliyesababisha penati nibmohamed hussein au kenedy Juma?? go and reverse your game.
mbona unaongea ujinga sana??? hakuna beki 3 tz anayefika ubora wa hata robo tuu ya shabalala
Bora hata ungesema kibu denis ndo hamnazo kabisa mle ndani. Hapo ningekuelewa.Katika tathmini yangu ya uchezaji na mchango wa Mohammed Hussein kwa timu ya Simba, uchezaji wake umekuwa unaleta makosa mengi kwa timu.
Mfano katika mechi ya leo, Zimbwe akifanya makosa mengi sana. Yaani inafikia wakati kila akipata mpira, unategemea kuna ujinga ataenda kufanya. Akiwa anakaba lazima atafanya faulo.
Leo penati ile haina mantiki yoyote, sijui alikuwa anaulalia mpira ili iweje. Kuna kona alisababisha kipindi cha kwanza, yuko nje ya goli, mchezaji pinzani yuko mbali, akautoa mpira nje akiwa peke yake ili iwe kona.
Akiwa uwanjani anajiamini sana kama vile anafanya vitu vya maana ila ni moja ya mapungufu ya timu kwa sasa.
Ok nimeangalia tena hilo, nakiri hapo nimekosea ila mengine yote niliyosema yanabaki hivyo hivyo. Kabla ya ile penati Zimbwe ndiye aliachwa na mchezaji wa Primeiro, nikachanganya nikidhani yeye ndiye alikuja kunawa.kwani aliyesababisha penati nibmohamed hussein au kenedy Juma?? go and reverse your game.
mbona unaongea ujinga sana??? hakuna beki 3 tz anayefika ubora wa hata robo tuu ya shabalala
Leo Muzamiru alitakata hasaMechi tano zilizopita ulitamani Muzamiru aachwe Simba
ulichoandika ni zaidi ya UHARO,halafu ukute hata kupiga danadana Kumi huwezi zaidi ya kujua kukuna pumbu tuKatika tathmini yangu ya uchezaji na mchango wa Mohammed Hussein kwa timu ya Simba, uchezaji wake umekuwa unaleta makosa mengi kwa timu.
Mfano katika mechi ya leo, Zimbwe akifanya makosa mengi sana. Yaani inafikia wakati kila akipata mpira, unategemea kuna ujinga ataenda kufanya. Akiwa anakaba lazima atafanya faulo.
Leo penati ile haina mantiki yoyote, sijui alikuwa anaulalia mpira ili iweje. Kuna kona alisababisha kipindi cha kwanza, yuko nje ya goli, mchezaji pinzani yuko mbali, akautoa mpira nje akiwa peke yake ili iwe kona.
Akiwa uwanjani anajiamini sana kama vile anafanya vitu vya maana ila ni moja ya mapungufu ya timu kwa sasa.