Soloma TV Online Senior Member Joined Jun 26, 2023 Posts 104 Reaction score 291 Jul 10, 2023 #1 Beki wa Pembeni anayepanda na kushuka Mohammed Hussein ameongeza mkataba wa miaka miwili, hivyo ataendelea kuwepo kwenye viwanja vya Msimbazi mpaka mwaka 2025.
Beki wa Pembeni anayepanda na kushuka Mohammed Hussein ameongeza mkataba wa miaka miwili, hivyo ataendelea kuwepo kwenye viwanja vya Msimbazi mpaka mwaka 2025.
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Jul 11, 2023 #2 Kanaonekana ni kashirikina haswa.
Kilimbatzz JF-Expert Member Joined Feb 11, 2023 Posts 9,134 Reaction score 14,593 Jul 11, 2023 #3 Dr Matola PhD said: Kanaonekana ni kashirikina haswa. Click to expand... Nidhamu ndo ushirikina wake
Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 6,782 Reaction score 14,148 Jul 11, 2023 #4 Naam maisha ya soka ni mafupi,mchezaji akifika miaka 30 apo yuko mwisho wa maisha ya kucheza soka la kulipwa.
Naam maisha ya soka ni mafupi,mchezaji akifika miaka 30 apo yuko mwisho wa maisha ya kucheza soka la kulipwa.
MUBENDE JF-Expert Member Joined Nov 11, 2022 Posts 1,111 Reaction score 1,879 Jul 11, 2023 #6 Kila la kheri Mohammed Hussein Mungu akujaalie utumishi mwema ktk utendaji wako kwenye club ya Simba.
Kila la kheri Mohammed Hussein Mungu akujaalie utumishi mwema ktk utendaji wako kwenye club ya Simba.