Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Inna lillah wa inna lillahi raajihu.R.I.P Muddy Physics. Mchango wako utakumbukwa
B ya physics imekufikisha wapi maishani zaidi ya kubeba mafaili huko Halmashauri?RIP mwamba kupitia wew cjui ile B ya physics ningeipataje,na IYUNGA TECH ningefikaje pumzika bro
😂😂😂😂Una roho ya kutu.tena wewe ni maskini wa roho na Mali.isitoshe uko ccm wewe sio bure
Shukrani mara nyingi haiangalii mambo mengi. Anyway mimi nilisoma tu comments nikaona alikuwa mtu muhimu sana ndiyo nikashauri waliobahatika kutokana na mchango wake wamuenzi. Mchangieni hata rambirambi basi🤣🤣🤣🤣. Kutoa ni Moyo Usiambe ni Utajiri.
Aliuza huduma yake. Ni sawa Mangi kafariki kisa alikuwa anakuuzia mchele basi akifa umsomeshee wanae. Hivi ukoo wako wote waliokulea,kukusafisha mavi kukulinda wao hawana shida mpaka ukasomeshe watoto wa mangi kisa alikuuzia mchele ?Charity BEGINS at home.Shukrani mara nyingi haiangalii mambo mengi. Anyway mimi nilisoma tu comments nikaona alikuwa mtu muhimu sana ndiyo nikashauri waliobahatika kutokana na mchango wake wamuenzi. Mchangieni hata rambirambi basi🤣🤣🤣🤣. Kutoa ni Moyo Usiambe ni Utajiri.
Mamashija ni chemistry na sio biologyTuliofatia tulikuwa na Busanji Physics, Mkandawile Chemistry na Mama Shija Biology.
Sisi tulifanya hivyo kama baadae alikuja badili au kabla alibadili. Mkandawile Chemia, Mama Shija Bios na Busanji Phys.Mamashija ni chemistry na sio biology
Tuliokimbia umande hata hatumjui.. ila inaonekana kagusa maisha ya wasomi wengi sanaHuyu nishamuziaga sana scientific calculator za kunjuga kutoka dizonga kitambo sana
Apumzike kunako stahili Dah
Ova
Humu myonge ni mimi tu... ndio nilikimbia umandeKumbe watu wengi wamepiga Masayansi humu
Mie role model wangu ni weweWatoto sahv ukiwauliza Shujaa au role model wako nani wanakwambia mondi kiba konde
Fantamalakaaa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kumbe na wewe msomiHuyu nakumbuka nlimuuziaga calculator scientific
Casio fx 115 ESPN kama 10
Alizikubali sana,alikuwa na utani wake kwangu
Anasema wenzenu wanasoma Nyie mko bize na kupiga dili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
JF ni ya wasomi bwanaa weeeLeo wanajf wote wamesoma advanced physics dah.
Mkanda boy [emoji38][emoji38][emoji38], yule anafundisha hadi holidays alafu makusudi anakata issues parefu ili wasio hudhuria pindi holidays wasiweze ku cover gape.Hao wa shuleni sawa.Ila hawa wa tuition big non.Ungewahi hudhuria madarasa yao ya tuition wala usingesema hili. Madarasa yalijaa,na tulilipa elfu mpaka 20 kwa topic. Nakumbuka mtu katoka kijijini anajibana ili apate tu elfu ishirini ya topic. Zingine anakosa pesa inabidi atoe copy ya vitini. Wewe acha tu. Nikikimbuka pale mtetendeni kwa Mkandawile tulivyokuwa tunajazana yaani wewe acha tu. Walikuwa wanatengeneza sana pesa.
Busanji nae alishaondoka bana, nilijua siku nimekutana na Makumaku [emoji41]Sisi tulifanya hivyo Kama badae alikuja badili au kabla alibadili.Mkandawile Chemia,Mama Shija Bios na Busanji Phys.
Makumaku sikuwahi kusoma kwake huyu alikuwa wa Bios nadhani. Nilikuwa nasikia tu habari zake.Hivi Mkandawile yupo wapi ?Busanji nae alishaondoka bana, nilijua siku nimekutana na Makumaku [emoji41]
Uusiongee usichokijua, Moddy physics kafundisha sana watu bure na alikuwa na masaa mawili jioni kufundisha topic mbili mkilasiku na watoto wengi wa hali ya chini tuliponea hapo na hata hivyo bado aliwasaidia baadhi ya watu wakawa wanasoma free, usitengeneze bias kwakuwa wewe ulipitia pabaya, MODDY KATUFUNZA MENGI, MUNGU AMREHEMU. Na nimeenda kumzika leo Mwandege-Vikindu, Mwalimu wangu wa muda wote.Aliuza huduma yake. Ni sawa Mangi kafariki kisa alikuwa anakuuzia mchele basi akifa umsomeshee wanae. Hivi ukoo wako wote waliokulea, kukusafisha mavi kukulinda wao hawana shida mpaka ukasomeshe watoto wa mangi kisa alikuuzia mchele? Charity BEGINS at home.