sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Labda tulikuwa watukutu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio tuli fail wapi asiee[emoji3][emoji3]
Kuna sehemu kuna itwa kwa mkanda wile huku pugu au ndio huyo?Mimi Makumaku nimemjua sababu ya Busanji. Mkanda boy nasikia anamiliki shule maeneo ya Pugu kama sikosei.
Kwa kweli hata mimi siwezi kusahau Mchikichini. RIP Muddy.Duuu! Aisee apumzike kwa amani. Kila nikitazama jinsi nilivyopitapita kwenye safari yangu ya kielimu siwezi kusahau mahali panapoitwa mchikichini na pia siwezi kumsahau huyu jamaa alinisaidia sana kwenye physics.
Mtaalam wa physics ndo alikuwa anamiliki gari ya hivi huku kina mondi wasokuwa hata na cheti wanamiliki magari ya kifahari. Endeleeni kuwekeza kwenye utumwa wa elimu.Kwa taarifa niliyoisikia muda si mrefu ni kuwa:
Yule aliyekuwa mtabe aliyekabidhiwa utabe wa physics pale Mchikichini, MUDY PHYSICS AU COMMISSIONER....
Safi mkuu huo ndio ubinadamuUusiongee usichokijua, Moddy physics kafundisha sana watu bure na alikuwa na masaa mawili jioni kufundisha topic mbili mkilasiku na watoto wengi wa hali ya chini tuliponea hapo na hata hivyo bado aliwasaidia baadhi ya watu wakawa wanasoma free, usitengeneze bias kwakuwa wewe ulipitia pabaya, MODDY KATUFUNZA MENGI, MUNGU AMREHEMU. Na nimeenda kumzika leo Mwandege-Vikindu, Mwalimu wangu wa muda wote.
Mtaalam wa physics ndo alikuwa anamiliki gari ya hivi huku kina mondi wasokuwa hata na cheti wanamiliki magari ya kifahari. Endeleeni kuwekeza kwenye utumwa wa elimu.
2011/2013 nilikuwa ninafundisha paleNilisoma 2010/ 2011
Hapo mwenyewe umejiona bonge la mjanja sio!Mtaalam wa physics ndo alikuwa anamiliki gari ya hivi huku kina mondi wasokuwa hata na cheti wanamiliki magari ya kifahari. Endeleeni kuwekeza kwenye utumwa wa elimu.
Nipo hospital ya taifa Muhimbili. Wewe upo wapi?
Kwa hisani yako naomba maelekezo ya mlipomlaza mwalimu wangu nataka nikirudi Tanzania niende kwwenye kaburi lake, niubusu mchanga wake na nimuombee dua, kipenzi cha wanaadamu, mwanachuoni wa zama zetu katika ilmu ya fisikia.Uusiongee usichokijua, Moddy physics kafundisha sana watu bure na alikuwa na masaa mawili jioni kufundisha topic mbili mkilasiku na watoto wengi wa hali ya chini tuliponea hapo na hata hivyo bado aliwasaidia baadhi ya watu wakawa wanasoma free, usitengeneze bias kwakuwa wewe ulipitia pabaya, MODDY KATUFUNZA MENGI, MUNGU AMREHEMU. Na nimeenda kumzika leo Mwandege-Vikindu, Mwalimu wangu wa muda wote.
Umeniongelea na mimi na wala siongezi neno. Mwenyezi Mungu muangalie kwa jicho la huruma kiumbe wako huyu. Amekuja kwako mnyonge na dhalili, basi msamehe alipoteleza, kwa rehma zako ya AllahRIP muddy Mambo yalkua yakinikamata kwenye Muncaster na nelkon nakimbilia kwenye vitini vyako...
Kwa hiyo wote tuwe kama akina Mondi? Unaita elimu utumwa cha ajabu watoto wako umewapeleka shule baada ya kuwaacha nyumbani,ukiumwa unaenda hospitalini sasa sijajua huko hospitalini unatibiwa na Mondi.Mtaalam wa physics ndo alikuwa anamiliki gari ya hivi huku kina mondi wasokuwa hata na cheti wanamiliki magari ya kifahari. Endeleeni kuwekeza kwenye utumwa wa elimu.