Priceless soul
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,484
- 1,732
Umenikumbusha mbali sn mkuu daahh.
Alituokoa sana sana huyu mwamba.Nilisomaga Simple &Harder mechanics buree kwa huruma maana nilikuwa hell of poverty.Olevel ndio usiseme.Ukisikia wanasema anazikwa wapi naomba nitag ndugu MwifwaDuuuhh, Mungu ampe makazi salama anayostahili..
Mliosoma physics kwake mnamjua vizuri huyu Baharia, nilisoma topic kadhaa za Mechanics kwake(alitoa offer) na zingine niliibia kutokana na Ukata wa Pesa.
Upande wa Notes(Vitini) zake hazikunishawishi sana, badala yake nikawa muumini wa Notes za Mgote..
Yap man, Umenikumbusha Shekidele, KingKong nikikutana nae Chuo TangaWe mwana hope tulisoma 2014 wote nahic kipindi cha kina #shekidele jamaa wa tanga tech
#ungachemistry #kingkong mashuzi[emoji3][emoji3][emoji3] RIP
So sad! nakumbuka wakati nipo primary Uncle wangu alikuwa ananipa story zake yeye yupo olevel Azania, na mimi O level & A level nikasoma hapo hapo physics miaka mingi imepita.. huyu jamaa ni one of the most influential person kwenye somo la physics hasa kwa DSM, vitini vyake vimesaambaa karibia nchi nzima.. imenisikitisha sana aseeUmenikumbusha mbali sn mkuu daahh.
Fatilia post & comment, kunasehem cjui wamepost Vikindu, cjui Mlandege cjaelewa yaniAlituokoa sana sana huyu mwamba.Nilisomaga Simple &Harder mechanics buree kwa huruma maana nilikuwa hell of poverty.Olevel ndio usiseme.Ukisikia wanasema anazikwa wapi naomba nitag ndugu Mwifwa
Muddy kiukweli amesaidia wengi mm mwenyewe mmoja wapo, hana nongwa Muddy km huna hela we mfate wala ha complicate kabisa.Alituokoa sana sana huyu mwamba.Nilisomaga Simple &Harder mechanics buree kwa huruma maana nilikuwa hell of poverty.Olevel ndio usiseme.Ukisikia wanasema anazikwa wapi naomba nitag ndugu Mwifwa
Asante subir niperuz mkuuu. Ila ukiona vzr usisahau kunitag piaFatilia post & comment, kunasehem cjui wamepost Vikindu, cjui Mlandege cjaelewa yani
@Priceless soul
Nmekutag hapoAsante subir niperuz mkuuu. Ila ukiona vzr usisahau kunitag pia
Picture
Yn Muddy ni hatari sana, naweza sema nchi hii imepoteza expert muhimu sana, vijana wetu wa olevel na Alevel bado walikuwa wanamhitaji mno ila ndo kazi ya Mola.So sad! nakumbuka wakati nipo primary Uncle wangu alikuwa ananipa story zake yeye yupo olevel Azania, na mimi O level & A level nikasoma hapo hapo physics miaka mingi imepita.. huyu jamaa ni one of the most influential person kwenye somo la physics hasa kwa DSM, vitini vyake vimesaambaa karibia nchi nzima.. imenisikitisha sana asee
Asante mkuu@Priceless soul
Asante nmeona mkuuNmekutag hapo