Naona unataka kubishana na UKWELI ? huyo bibie alicho andika ni sahihi kabisa na huwezi kupinga hili.Hivi huko CCM kuna watu mmefika O-level pia? Mbona arguments zenu ni kama mliishia vidudu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unataka kubishana na UKWELI ? huyo bibie alicho andika ni sahihi kabisa na huwezi kupinga hili.Hivi huko CCM kuna watu mmefika O-level pia? Mbona arguments zenu ni kama mliishia vidudu?
Hizi za elimu bure full kukohoa tuuu...ziko chaki hata vumbi hazitoi, sasa hawa walimu wa kilio cha madaraja hawawezi nunua!Nilisoma kwake Fizikia nikiwa shule ya Upili. Nazikumbuka sana zike Chaki zake, zilikuwa ndogo ndogo (Spoti Spoti) bei ghali kidogo, siyo kama hizi za memkwa na haki elimu.
Mola wetu mlezi amrehemu.
Haswaa, alikuwa na chaki zake spoti spoti hazitoi vumbi, sijui kama aliendelea nazo,maana kwangu mimi nilimdiriki kwenye miaka ya ya 2005 mpaka na 2006.Hizi za elimu bure full kukohoa tuuu...ziko chaki hata vumbi hazitoi, sasa hawa walimu wa kilio cha madaraja hawawezi nunua!
Your respect!Haswaa, alikuwa na chaki zake spoti spoti hazitoi vumbi, sijui kama aliendelea nazo,maana kwangu mimi nilimdiriki kwenye miaka ya ya 2005 mpaka na 2006.
A'level huko niliachana na na mambo ya mapindi nikaona yananipotezea muda, nikasoma kwa Mwalami topic chache kisha nikaenda zangu.
Poleni wafiwa. Sisi wakongwe tulikuwa na marehemu Mzee Kazibure.
Kitambo sana. Sisi wakongwe kidogo, tunazeeka sasa.Your respect!
Nilikua msingi tena chinichini huku kipindi wewe upo secondary!
[emoji38][emoji38][emoji38]Kwa maneno yako unaweza ukawa sahihi au usiwe sahihi pia
Hongera sana kwa kufika O level
Hasira za uchaguzi[emoji38]mpaka sasa sijaelewa kosa lako,nimesoma comment yako mara mbili sikuelewa jamaa kwanini ameku-mind, ila jibu zuri
Endelea kufurahia maisha.Kitambo sana. Sisi wakongwe kidogo, tunazeeka sasa.
Tuko pamoja. Shukrani sana.Endelea kufurahia maisha.
Tatizo lake alikua hajui kuandaa notes. Alikua anakimbizwa sana na kina Saudi Mgote, Mtiga.Alijua kukupa concept za kuelewa physics na jins ya ku-tackle problems in easily way
Ona hii mbuzi....Tatizo lake alikua hajui kuandaa notes. Alikua anakimbizwa sana na kina Saudi Mgote, Mtiga.
R.I.P broNi taarifa za kusikitisha kua yule mwalimu wa Physics mchikichini maarufu kama 'Muddy Physics' amefariki dunia jioni hii
Apumzike kwa amani tutamkumbuka kwa ufundishaji wake mzuri na ucheshi wake.
Inasemekana amefariki ghafla.View attachment 1624466
Aisee!Dah Roho imesononeka sana....maana bila yeye nisingepata A za physics Olevel na Advance ..ni kati ya walimu wachache wenye wito wa kufundisha.Alijua kukupa concept za kuelewa physics na jins ya ku-tackle problems in easily way.May Allah grant HIM external peace .
Memories View attachment 1624504View attachment 1624505View attachment 1624507
Huyu ni nani?? Wadau tumepita zamani pale. Kuna mshkaji akiitwa Hassan alikuwa akipiga chemistry na namba LMB pale, sasa hivi kaenda China nadhani kufanya Masters, unampata??😂😂😂
Ila nanyi mnawajua walimu wenu wanaomaliza FORM 6 na kujitolea kufundisha LUMUMBA na pia kuwapiga MATWITI....Yuko mmoja anaitwa JAJE(utani)...jina kamili Yusuf mpwa wa mh.Shamsi Vuai...atakua Yuko Urusi sasa....
Mpaka bungeni wataalikwa, lakini watu wenye mchango katika ukombozi halisi wa watanzania nani atawajali??Watu muhimu nchi wanaonekana ni kina mondi gigy konde
Ova
Ntakuja mgonjwa, doc!Nipo hospital ya taifa Muhimbili.Wewe upo wapi ?