Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Mimi sio msela, nimesoma Azaboi miaka 6 na namkumbuka vizuri Muddy PhysicsWale masela wa Azaboy wa enzi hizo ndio wanamjua na kumkumbuka sana.
Sisi wa huku Zanzibar hatujuagi watu wa Dar, tunamjua Maalim Seif Sharif Hamad tu.