TANZIA Mohammed “Muddy Physics” wa Mchikichini afariki dunia

TANZIA Mohammed “Muddy Physics” wa Mchikichini afariki dunia

Wekeni picha basi. Wengine hatumjui huyo muddy maphysics!

Poleni sana.
 
Tanzia
IMG-20201111-WA0010.jpg
 
Kwa maneno yako unaweza ukawa sahihi au usiwe sahihi pia

Hongera sana kwa kufika O level

Mpaka sasa sijaelewa kosa lako,nimesoma comment yako mara mbili sikuelewa jamaa kwanini ameku-mind, ila jibu zuri
 
Wale masela wa Azaboy wa enzi hizo ndio wanamjua na kumkumbuka sana.
Sisi wa huku Zanzibar hatujuagi watu wa Dar, tunamjua Maalim Seif Sharif Hamad tu.
😂😂😂
Ila nanyi mnawajua walimu wenu wanaomaliza FORM 6 na kujitolea kufundisha LUMUMBA na pia kuwapiga MATWITI....Yuko mmoja anaitwa JAJE(utani)...jina kamili Yusuf mpwa wa mh.Shamsi Vuai...atakua Yuko Urusi sasa....
 
Back
Top Bottom