Mohammed Ouattara ni "Mnyama"

Mohammed Ouattara ni "Mnyama"

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Chukua hiyo kwanza
Screenshot_20220722-132725_Lite.jpg
 
Hizi sifa siyo za dunia hii! Beki kisiki, beki wa kuzuia mipira ya juu na chini, beki bora na mwenye uwezo wa kucheza kwenye kikosi chetu!!

Halafu mechi ya kwanza tu unamkuta ulimi nje baada ya kuhenyeshwa na akina Mayele.
Mkiambiwa waropokaji mnasema mnaonewa,mtu hajacheza hata mechi ya majaribio unaanza utabiri wa kichawi
 
simba hata wakinisajili mimi utasikia tumemsajili kutoka Malawi, anaweza kucheza na Yanga yote peke yake!
Binafsi nashauri tukutane uwanjani
 
simba hata wakinisajili mimi utasikia tumemsajili kutoka Malawi, anaweza kucheza na Yanga yote peke yake!
Binafsi nashauri tukutane uwanjani
Kumbe unalijua hilo hiki kiherehere chako cha nini na ligi haijaanza? Huyu ameripoti kuwa Simba imetangaza usajili mpya leo mchana tatizo nini nyie manyani?
 
Hizi sifa siyo za dunia hii! Beki kisiki, beki wa kuzuia mipira ya juu na chini, beki bora na mwenye uwezo wa kucheza kwenye kikosi chetu!!

Halafu mechi ya kwanza tu unamkuta ulimi nje baada ya kuhenyeshwa na akina Mayele.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mayele ambaye hata Mpole ameshindwa kubattle nae ktk mbio za ufungaji, ndo amuwezee huyu deffer??

Wee maumivu badooo, kuwa mpoleeeee.
Mbna utafurahishwaaa,
Byuti byuti.
 
Hongera simba ila wasiwasi wangu bado upo pale DM nahisi tunahitaji mtu wa nguvu sana.
 
Hivi huyu anamzidi yule kipa mpya wa Azam tulieambiwa kuwa anaweza kudaka hata akiwa amefunikwa Gunia?
 
Back
Top Bottom