Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi sifa siyo za dunia hii! Beki kisiki, beki wa kuzuia mipira ya juu na chini, beki bora na mwenye uwezo wa kucheza kwenye kikosi chetu!!Chukua hiyo kwanzaView attachment 2299761
Mayele yupi? au yule mfugaji [n'gombe] anayemuogopa Inonga?Hizi sifa siyo za dunia hii! Beki kisiki, beki wa kuzuia mipira ya juu na chini, beki bora na mwenye uwezo wa kucheza kwenye kikosi chetu!!
Halafu mechi ya kwanza tu unamkuta ulimi nje baada ya kuhenyeshwa na akina Mayele.
Mkiambiwa waropokaji mnasema mnaonewa,mtu hajacheza hata mechi ya majaribio unaanza utabiri wa kichawiHizi sifa siyo za dunia hii! Beki kisiki, beki wa kuzuia mipira ya juu na chini, beki bora na mwenye uwezo wa kucheza kwenye kikosi chetu!!
Halafu mechi ya kwanza tu unamkuta ulimi nje baada ya kuhenyeshwa na akina Mayele.
Hivi kweli anaitwa Quatara?Chukua hiyo kwanzaView attachment 2299761
Kumbe unalijua hilo hiki kiherehere chako cha nini na ligi haijaanza? Huyu ameripoti kuwa Simba imetangaza usajili mpya leo mchana tatizo nini nyie manyani?simba hata wakinisajili mimi utasikia tumemsajili kutoka Malawi, anaweza kucheza na Yanga yote peke yake!
Binafsi nashauri tukutane uwanjani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mayele ambaye hata Mpole ameshindwa kubattle nae ktk mbio za ufungaji, ndo amuwezee huyu deffer??Hizi sifa siyo za dunia hii! Beki kisiki, beki wa kuzuia mipira ya juu na chini, beki bora na mwenye uwezo wa kucheza kwenye kikosi chetu!!
Halafu mechi ya kwanza tu unamkuta ulimi nje baada ya kuhenyeshwa na akina Mayele.
Umepigwa wewe kwa zeruzeru kupigwa piniHapa simba tumepigwa sio siri
Hivi huyu anamzidi yule kipa mpya wa Azam tulieambiwa kuwa anaweza kudaka hata akiwa amefunikwa Gunia?
Kama vile nakuona jinsi kinyesi kinavyogonga pichu!Hapa simba tumepigwa sio siri