Jamani umuhamia kwenya maiti tena kwani kuna athari gani wa kizikwa bara? Jamani mbona mmeenda mbaliDar es salaam na Zanzibar ni kilometers chache Sana ,kwa tajiri Kama Mohammed Raza angesafirishwa kwa ndege dk chache Sana na kuzikwa kwao Zanzibar aliko kuwa mbunge mtu maarufu Ila Cha ajabu wamemzika kisutu kwa nini?
Je Zanzibar hakuna maeneo ya kuzika maana sio yeye tu wapo watu wengi wenye ushawishi na raia wa kawaida wanaazikwa mmbande mbagala kule wapemba waliponunua eneo la kuzikana wao tu,kwanini wasinunue eneo Zanzibar na kuzikana huko maana ni karibu the?
USSR
Mmezika watu wengi wakiwa hai kwa sababu ya haraka zenuNi maagizo ya mtume wetu, kati ya mambo yanayopaswa kufanywa kwa haraka ni maziko baada ya mtu kufa.
Ndio maelekezo hatuna namnaMmezika watu wengi wakiwa hai kwa sababu ya haraka zenu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwani ndege inachukua Dakika ngapiNi maagizo ya mtume wetu, kati ya mambo yanayopaswa kufanywa kwa haraka ni maziko baada ya mtu kufa.
Acha wawaendee mbali tu hawa jamaa ukiingia anga zao ndo utajua jinsi walivyo wabaguziJamani umuhamia kwenya maiti tena kwani kuna athari gani wa kizikwa bara? Jamani mbona mmeenda mbali
Kwani lazima kuzikwa kwenu?Dar es salaam na Zanzibar ni kilometers chache Sana ,kwa tajiri Kama Mohammed Raza angesafirishwa kwa ndege dk chache Sana na kuzikwa kwao Zanzibar aliko kuwa mbunge mtu maarufu Ila Cha ajabu wamemzika kisutu kwa nini?
Je Zanzibar hakuna maeneo ya kuzika maana sio yeye tu wapo watu wengi wenye ushawishi na raia wa kawaida wanaazikwa mmbande mbagala kule wapemba waliponunua eneo la kuzikana wao tu,kwanini wasinunue eneo Zanzibar na kuzikana huko maana ni karibu the?
USSR
USSR!Dar es salaam na Zanzibar ni kilometers chache Sana ,kwa tajiri Kama Mohammed Raza angesafirishwa kwa ndege dk chache Sana na kuzikwa kwao Zanzibar aliko kuwa mbunge mtu maarufu Ila Cha ajabu wamemzika kisutu kwa nini?
Je Zanzibar hakuna maeneo ya kuzika maana sio yeye tu wapo watu wengi wenye ushawishi na raia wa kawaida wanaazikwa mmbande mbagala kule wapemba waliponunua eneo la kuzikana wao tu,kwanini wasinunue eneo Zanzibar na kuzikana huko maana ni karibu the?
USSR
Nyie mmeokoa wangapi kwa kuchelewesha kuzika ?Mmezika watu wengi wakiwa hai kwa sababu ya haraka zenu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wengi sana coz wengine wanazimia tuuNyie mmeokoa wangapi kwa kuchelewesha kuzika ?
Leta picha za mazishi tuthibitishe madai yakoDar es salaam na Zanzibar ni kilometers chache Sana ,kwa tajiri Kama Mohammed Raza angesafirishwa kwa ndege dk chache Sana na kuzikwa kwao Zanzibar aliko kuwa mbunge mtu maarufu Ila Cha ajabu wamemzika kisutu kwa nini?
Je Zanzibar hakuna maeneo ya kuzika maana sio yeye tu wapo watu wengi wenye ushawishi na raia wa kawaida wanaazikwa mmbande mbagala kule wapemba waliponunua eneo la kuzikana wao tu,kwanini wasinunue eneo Zanzibar na kuzikana huko maana ni karibu the?
USSR