Wakati mnawaweka kwenye mafridge kama samaki, na kuzikwa na mbao kila kona
Hayo maswali hata ww utaulizwaLazima wawaishwe kuzikwa sababu Malaika Munkar and Nakir wanakuwa wanawasubiri kuwauliza Maswali na wakikosea hayo Maswali wanapigwa na Nyundo ya kichwa hadi wajibu sawa sawa...
View attachment 2650438
Maswali hayo Huwauliza na majibu yake: Allah (SWT) is my Lord, Islam is my religion, and the Prophet Muhammad (SAW) is my prophet
Waislamu hawakai mortuary?Wakati mnawaweka kwenye mafridge kama samaki, na kuzikwa na mbao kila kona
Mabikra 72 vipi? Nao unapewa hapohapoHayo maswali hata ww utaulizwa
Ni nadra sana kukaa mortuary na wakikaa haizidi siku, labda kuwe na uchunguzi ndo unaweza ikazidiWaislamu hawakai mortuary?
nchi ilishauzwa na yeye ni mwanahisa 😂 😂Dar es salaam na Zanzibar ni kilometers chache Sana, kwa tajiri Kama Mohammed Raza angesafirishwa kwa ndege dk chache Sana na kuzikwa kwao Zanzibar aliko kuwa mbunge mtu maarufu Ila Cha ajabu wamemzika Kisutu kwa nini?
Je Zanzibar hakuna maeneo ya kuzika maana sio yeye tu wapo watu wengi wenye ushawishi na raia wa kawaida wanaazikwa Mmbande, Mbagala kule wapemba waliponunua eneo la kuzikana wao tu, kwanini wasinunue eneo Zanzibar na kuzikana huko maana ni karibu?
USSR
Mwaalim Seif alizikwa Pemba, Dr. Omar Ali Juma alizikwa Pemba Hawa wote walifarki DSMKwa mujibu wa taratibu za uislamu mtu anatakiwa azikwe hapo hapo kwenye mji aliofariki unless pawe na ugumu wa mazingira wa kufanikisha hilo jambo.
Mwaalim Seif alizikwa Pemba, Dr. Omar Ali Juma alizikwa Pemba Hawa wote walifarki DSM
Niendelee kutaja wengine?
Bila picha huu unaonekana uzushiMmezika watu wengi wakiwa hai kwa sababu ya haraka zenu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app