Hapana tatizo, Endelea Kuenjoy uhuru wa CCM. mzee Mohamed Said alikufahamu mapema ndio mana akakupuuza.
Pole sana mkuu, Huyo mtu wako ndie Alievifucked up visiwa na mpaka leo vipo kwenye shida kwa sababu yake halafu unatuitia kidume? alijimilikisha visiwa wakati yeye mwenye ata kuzaliwa Unguja hakuzaliwa. Hao waafrica unaowasema wangapi aliwaua? wangapi aliwatesa?
Nyerere ndie aliempa karume uenyekiti wa ASP, Nyerere pia ndie aliempa Karume Uraisi wa Zanzibar baada ya mapinduzi. Bila ya shaka alijua nini anafanya na kila kitu kilikwenda alivotaka. Endeleeni kumsifu hali yakua mpaka leo mnautafuta mkataba wa Muungano wamujui hata wapi kauficha au kama upo, Alisaini au hakusaini.
Tunachotaka ni uthibitisho wa hiyo dhulma mnayoizungumza. Sio mutulazimishe kuamini kwa maneno.
Nakuhusu kusaidiwa na Tanganyika mapinduzi. Mkuu ASP hawakusaidiwa mapinduzi na Tanganyika bali Tanganyika ndio waliofanya mapinduzi hivo nivitu viwali tafauti jaribu katafautisha na ndio mana nilikuuliza swali mwenye mapinduzi ni nani ambalo ulishindwa kuniaambia. Wengine wanasema Okello, wengine wanasema comrade, wengine wanasema umoja wa vijana ASP, Alimradi wanakorogana tu. Kama tanganyika alisaidia huyo aliesaidiwa ni nani?
Sijamuona Karume, Lakini nimejiridhisha vya kutosha kutokana na ufahamu wangu kwake. Nimeshafanya mahojiano ya ana kwa ana kwa zaidi ya watu 6 wanaomfahamu vizuri karume. mbali niliyosoma mengi kutoka kwa wengine. Bado munstragle mpaka leo kuthibitisha ushiriki wake katika mapinduzi, munabakia kumwita jemedari!!!!!!! labda wa udongo.
Sasa nafunga mjadala. Nakubaliana na wewe kuwa mapinduzi yalifanywa na Tanganyika na kuwa kulikuwa hakuna sababu yakufanya mapinduzi, kwani hakuna aliyekuwa akidhulumiwa chini ya utawala wa Sultani na kuwa SMZ na sio utawala wa Sultani ndio yenye dhulma kila corner, kuanzia kwenye elimu na kwengineko. Pia, nakubaliana na wewe kuwa nia ya kuipindua serikali ya Sultani ilikuwa kuuangamiza uislamu Zanzibar FULL STOP!
Mjadala umeisha. Sitojibu tena!
Dos,Mkuu unasikitisha kabisa kujivunia Phd na masterms huku ukiwa na fikra kama hizo.
Kassim Hanga uliwahi msikia?Idrisa Abdul wakil? Mdungi Ussi? Mohammed Shamte? Othman Sharif? Ali sharif? Ameir Tajo? Hasnu makame? hawa je walikua ni waarabu? au ndio pia wamo katika fluke unayoisema?
Ngida 1,Sasa nafunga mjadala. Nakubaliana na wewe kuwa mapinduzi yalifanywa na Tanganyika na kuwa kulikuwa hakuna sababu yakufanya mapinduzi, kwani hakuna aliyekuwa akidhulumiwa chini ya utawala wa Sultani na kuwa SMZ na sio utawala wa Sultani ndio yenye dhulma kila corner, kuanzia kwenye elimu na kwengineko. Pia, nakubaliana na wewe kuwa nia ya kuipindua serikali ya Sultani ilikuwa kuuangamiza uislamu Zanzibar FULL STOP!
Mjadala umeisha. Sitojibu tena!
Hapa umeonesha kidogo kufahamu sehemu ya ukweli,lakini bado kidogo kuhusu elimu.USIOPINGIKA kwa utawala uliyopita wa Sultani na kwa tawala zetu za sasa pia.
KUDUME CHENYEWE KUMBE CHA GARI YA NGOMBE!, Maana naona pesa imechukuliwanchi imechukuliwa,na Azimio la Arusha limekujaZNZ na Hata mwenge wa Uhuru wa Tanganyika unakimbizwa Zanzibar kila mwaka,kama vile tulivyo kuwa tukisheherekea Siku ya Malkia wa UK hapa ZNZ enzi zile unazosema za Mkoloni Sultani.Naona Chief hujafahamu hapa tunazungumza nini. Tushakubaliana huko nyuma kuwa mapinduzi ya Zanzibar yalipata msaada kutoka nje.
Tunachobishana hapa na wana-historia na ambacho kililetwa mwanzo as term of reference ni kama chini ya usultani dhulma zilikuwepo zidi ya waafrika au laa? Mfano ukatolewa wa kwenye elimu - hichi ndicho tunachokizungumza na sio nanai alitusaidia kupindua. Hope the issue is clear to you now!
Halafu unamzungumza Karume, suala langu ni kuwa ukimjua Karume? Uliwahi kukutana nae uso kwa uso? Ulikuwa angalau miaka 18 pale alipouliwa ile 1972? Karume huwezi kumjua kwa kusoma vitabu au kuhadithiwa na wana-historians.
Angelikuwa hai waziri wa fedha wa Mwalimu (Ndugu Amir Jamal) ningelikuomba umuulize eti Karume ni nani au ungelimuuliza yalimkuta nini pale alipotaka kuziweka pesa za kigeni za Visiwani na Bara chini ya Central Bank moja ya BoT?
Au kama Mwalimu nae angelikuwa hai ningelikuomba umuulize alijibiwa nini na Karume alipomuuliza Sheikh Karume mbona mnaowaowa tu huko Visiwani? Au alisema nini Karume pale Mwalimu alipotangaza Azimio la Arusha kule Bara?
Karume alikuwa ni mtu mwengine na hata hawa historians wetu wanalijua hilo na kulikubali. Angelikuwepo mpaka leo, either tungelikuwa ni nchi moja au angeshauvunja Muungano wenyewe au tungelibakia na mambo ya Muungano yale yale ya 1964.
Anyway, ngojea nikusaidie kidogo. Unamjua dada FATMA KARUME ambae ni Rais wa Tanganyika Law Society? Basi kama unamjua da Fatma, toa sura yake ya kike na weka sura ya kiume na utakuwa ushampata Karume!
Huyu dada ndie aliemrithi Karume kwa hali zote. Kwa sisi tunaemjua Karume, huyu dada ni Karume mtupu and she is going to be the next big thing in Tanzania!
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwatumia salaam zangu za kuadhimisha kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.Kaka Mohammed Said,
Wa-Omani waliichukuwa Zanzibar kwa nguvu kinyume na matakwa ya Wazanzibari wenyewe baada ya kumshinda mreno, sasa na wao kwanini wasiondoshwe kwa nguvu? Ni kweli kuwa Wa-Omani walimfukuza mreno kutoka Zanzibar, lakini baada ya Wa-Omani kuwarejeshea utawala wao Wazanzibari, walijifanya wao wafalme wa visiwa hivi.
Kwahivyo, kupinduliwa kwa Wa-Omani katika mwaka 1964 ilikuwa ni muendelezo wa events ambazo wao wenyewe Wa-Omani walizianzisha. Wa-Omani walivivamia visiwa vya Zanzibar kwa nguvu na wakajifanya wafalme na kwahivyo kwa wenyeji wa kizanzibari kutafuta msaada 1964 kutoka kwa wamakonde wa Tanga (kama unavyoeleza) ili kuwaondoa wavamizi visiwani mwao hayafanyi mapinduzi ya Zanzibar kuwa sio halali.
Tanzania tuliwasaidia wapigania uhuru kutoka Msumbiji, South Africa, Zimbabwe, etc. je, ushindi wao sio halali leo kwasababu walisaidiwa na watu kutoka nje? Kumwita jirani yako kuja kukusaidia kumtoa alievamia nyumba yako ni kosa?
Kama Wa-Omani walikuwa wenye nia njema, basi baada ya kumuondosha mreno visiwani wangeliwarejeshea wenyewe Wazanzibari utawala wao na sio wao Wa-Omani kujifanya wafalme kwa nguvu zao.
Mkuu una mahaba mno na mapinuzi yenuNawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwatumia salaam zangu za kuadhimisha kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tutayalinda kwa gharama yoyote.
Nawatakia maadhimisho mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Kazi Iendelee!.
Paskali
Huu ni uchokozi, Mapinduzi Matukufu ni ya Zanzibar, ila kwavile sasa tumeungana, tumekuwa kitu kimoja, hivyo Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar pia ni yetu na ndio maana tumeapa tutayalinda kwa gharama yoyote.Mkuu una mahaba mno na mapinuzi yenu
Huu ni uchokozi, Mapinduzi Matukufu ni ya Zanzibar, ila kwavile sasa tumeungana, tumekuwa kitu kimoja, hivyo Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar pia ni yetu na ndio maana tumeapa tutayalinda kwa gharama yoyote.
P
Endelea kusema wameyakataa ! leo ni miaka 58, itafika hadi miaka 100!.Sasa kwanini huko Zanzibar wanapata tabu sana kuyaenzi? viwanjani huwa wanajaza vikosi vya ulinzi pamoja na kulzimisha wanafunzi na walimu wa maskuli ya serekali ili wazibe mapengo, Wanalazimisha wafanya biashra waeka mabendera kwenye maeneo ya biashara zao. Mbona wananchi wameyakataa hayo mapinduzi mkuu?
Endelea kusema wameyakataa ! leo ni miaka 58, itafika hadi miaka 100!.
P
The end justifies the means, Muungano udumu.kwa mtutu wa bunduki na si kwa ridhaa ya wananchi
[emoji23][emoji2][emoji23]Mkuu una mahaba mno na mapinuzi yenu
Mapinduzi yalilenga kulinda maslahi ya Mwingereza,kanisa Katoliki,Anglikana na maslahi ya akina Rothchild.Nyerere aliagizwa ahakikishe anapindua na kisha sultan Jamshid ampokee halafu atapewa hifadhi Uingereza ili asifurukute.Hii ni sawa na alivyofanyiwa Jumbe,Kabudi na William Vangimembe Lukuvi.Chifu Hangaya ,Mungu anakuona.Kaka/Dada,
Hahaha, kwanza, sina PhD, lakini under my roof yupo mwenye hio PhD na nina hakika chini ya Sultani angelikuwa mkwezi tu hivi sasa.
Hayo majina uliyoyataja sio ndio huo huo mkumbo nilioutaja au ulitaka niyataje yote majina 12 ya waafrika waliosoma katika miaka 100 ya usultani?
Anyway, sasa wewe unasema nini kwa kuyataja hayo majina mawili matatu zaidi? Au ndio unasema kuwa kulikuwa na equal opportunities za kusoma kwa watu wote visiwani enzi za usultani? Kama ingelikuwa hivyo basi mapinduzi yasingelitokea visiwani.
Mapinduzi yametokea sio kwasababu ya kuudhoofisha uislamu kama wengine wanavyosema, bali dhulma na ukandamizaji wa waafrika ulizidi.Unapowadhulumu wengi haki zao za msingi kwa muda mrefu, basi lazima ujue kuwa a people's insurrection becomes the only alternative for such people in order to redeem themselves - huu ni ukweli USIOPINGIKA kwa utawala uliyopita wa Sultani na kwa tawala zetu za sasa pia.