Mohammed Said na Mapinduzi ya Zanzibar

Hao machotara na waarabu wa oman kamwe wasiwafundishe waafrika wa zanzibari historia.
Waarabu ni wabaguzi sana kwa mwafrika na ni waomini kiimani mtu mweusi ni mtumwa. Tena heri mwarabu kuliko chotara wa kiarabu kwa ubaguzi.
Tumeona muda sasa hao machotara wa kiomani wakijaribu kuandika historia yao wenyewe kuhusu zanzibar huku serikali ya oman ikiwa tayari kukubali yaishe na wanatoa misaafa mbalimbali kwa zanzibar.
La kushangaza zanzibar imejikomboa 1964 toka ukoloni wa waingereza na masetla wa kiomani wakati omani imepata uhuru wake toka ukoloni wa waingereza kwenye miaka ya mwanzo 1970. Unyonge wa kufanywa watumwa kweli umetuathiri sana waafrika kisaikolojia.
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwatumia salaam zangu za kuadhimisha kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tutayalinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia maadhimisho mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Japo sasa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yanaelekea miaka 60, Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Kazi Iendelee!.

Paskali
 
Kasimu hanga kuna kitu alifanya mpaka kuuawa ila wapinzani wa karume hawataki kutuambia ukweli!!!Karume hakua kichaa aue watu bila sababu lazima kuna kitu!!!Na pili kuna wabantu na machotara wa kiarabu walikua na mahaba na waarabu wa Oman na hawa pia walikua na ajenda za siri dhidi ya SMZ
 
Hujalijibu swali mkuu, nilitaka kuwajua hao unaowaita weye kama ni wazanzibar ni watu aina gani na wapo vipi. Mana wapo wengine ambao mimi nawaona ndio weye ulishaweka pembeni akasema ni wa Oman na Wayemen.
Wabantu weusi kabla ya waarabu,wareno na jamii nyingine
 
Upo sahii waarabu walikua walowezi kabla hata ya sultan ila kiasili haya ni.Maeneo ya wabantu na ndio wakazi wa mwanzo
 
Na Waoman na Wayemen ni watu wawili tofauti wenye historia mbili tafauti ndani ya Afika mashariki kwanini unawachnagya? au kwasababu wote ni weupe na waarabu?
Hawachanganyi ila wote walilowea pwani ya afrika mashariki!!Kuanzia Mogadishu mpaka sofala
 

hii inadhihirisha ni jinsi gani unaongea vitu usivyovifahamu. Wa Oman hawakuwahi kuhusika popote kwenye siasa za Kupigania uhuru za Zanzibar. Umelishwa Propaganda nyingi sana na CCM.
 

Mkuu tatizo lako jengine ni kuwa Humuelewi kabisa Karume alikua ni mtu wa aina gani.

Karume alikua ni Dikteta wa kiwango cha Juu sana.

Kassim Hanga alikua ni katika walioongoza mapinduzi ya 1964, na baada ya hapo akatelekezwa na Karume na Nyerere. Walikua na hofu nae kubwa kuwa either angeliweza ku attemp mapinduzi mengine au angelitoa siri za mapinduzi yale.
 
Upo sahii waarabu walikua walowezi kabla hata ya sultan ila kiasili haya ni.Maeneo ya wabantu na ndio wakazi wa mwanzo

Hakuna ushahidi huo zaidi ya porojo za vijiwe vya kahawa, Na hata ni kama ni kweli bado haiwezi kuwa hoja ya kuwakataa watu wa jamii nyengine kuwa sio wa Zanzbar. Hata huku Tanganyika tukianza kuchunguzana nani wa asili nani sie hata wewe unawezakujikuta sio Mtanganyika wa asili. Lakini una haki zote kama mtanganyika mwengine.
 
hii inadhihirisha ni jinsi gani unaongea vitu usivyovifahamu. Wa Oman hawakuwahi kuhusika popote kwenye siasa za Kupigania uhuru za Zanzibar. Umelishwa Propaganda nyingi sana na CCM.
Sasa kaka nisaidie kitu labda sijui!!Yule sultani mwarabu wazazi wake waliku waarabu wa morogoro au asili yao ni waarabu wa omani????Na wale machotara wa hizbu bsba zao walikua waarabu wa morogogoro au Oman???Na kama waarabu wa omani hawakuhusika na sultani na zanzbar naomba unijuze lile tabaka la juu la uongozi wa kisultani nasaba zao zilitokea wapi ni marekani au omani????Tupe elimu kaka ASP ilitudanganya
 
Mbona wabantu waliohamia omani wanaitwa wahamiaji ila waomani waliohamia zanzbar na kulowea sio wahamihaji ni wazawa kwa sababu hawakukuta watu zanzbar bali miembe tu kaka???
 
Kwahiyo kaka unataka kutuambia hizbu na shamte na waarabu walikua waungwana kuliko babu zetu waliowapindua!!!Na tukuulize kwanini babu zetu waliwapindua sultan na hizbu????
 
Mbona wabantu waliohamia omani wanaitwa wahamiaji ila waomani waliohamia zanzbar na kulowea sio wahamihaji ni wazawa kwa sababu hawakukuta watu zanzbar bali miembe tu kaka???

Mkuu kila nchi na taratibu zake za kimaisha. Wabantu ambao wanaitwa wahamiaji Oman ni hawa waliohamia miaka ya karibuni from 70's, kutokana na sheria za sasa nchi hiyo (nahao wengi wao wamepta Uraia) . Lakini waliohamia pre 1900's ni wazawa kabisa wenye haki zote. Ukifika Oman utakutana na waarabu weusi wengi sana ambao wapo pale vizazi kwa vizazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…