BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Acha unaz ww wazungu hawana madudu kinachoonekana ndicho kinachotokea salah amefanya makubwa mno sasa ultakapewe nn???Uko sahihi kabisa, na mimi pia nimeliona hili. Yaani kura zikiwa ni za kupigwa na mashabiki, kukawa na mchezaji wa Liverpool usitegemee tofauti. Mashabiki wa Liverpool wana nguvu sana. Wewe umemsema Mane, mimi naweza sema hata akiwekwa Henderson na Messi usishangae Henderson akashinda, ili mradi tu kura zipigwe na mashabiki!!
Si tuzo ya mchezaj bora wa miaka 10 ni mwaka 2018 tumia akiri wwKiwango mkuu. punguza kutizama mpira kishabik, tuliza akili utizame mpira.
Katika miaka 10 iliopita hamna kama David Silva ndani Ya EPL.
Hivi unataka kuniambia kwa msimu uliopita Silva alistahili tuzo mbele ya Kante?unafikia hatua kumfananisha ngolo Kante na Silva? hua unatizamaga vipi mpira mkuu
Ni AKİLİ na sio AKİRİ.Si tuzo ya mchezaj bora wa miaka 10 ni mwaka 2018 tumia akiri ww