Moïse Katumbi, umejisikiaje kucheza na timu kubwa?

Moïse Katumbi, umejisikiaje kucheza na timu kubwa?

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Niseme nini kuhusu Yanga Africa, niambieni niseme nini? Mpaka kesho najiuliza hivi inawezekana vipi kuwa shabiki wa soka bila kuipenda Yanga? Sijawahi kupata jibu.

Yanga ni furaha, Yanga ni upendo, Yanga ni kielelezo cha ladha halisi ya soka. Ifike hatua huyu Mayele tumtafutie jina lake maalumu ili kumtofautisha na wengine. Mayele aitwe mshambuliaji na Kibu Dennis naye aitwe mshambuliaji ni kuukosea heshima mchezo wa soka.

Nikipata nafasi ya kukutana na Moses Katumbi nitamuuliza, Mheshimiwa umejisikiaje kucheza na timu kubwa?
 
zile 5ml za madame prezidaa kwa kila goli ndio funika kombe la ukarabati wa kivuko 7.5BL
 
Sasa mazembe na yanga ipi timu kubwa...yanga kumfunga mazembe nyie kwenu ni kufikia malengo..
 
Niseme nini kuhusu Yanga Africa, niambieni niseme nini? Mpaka kesho najiuliza hivi inawezekana vipi kuwa shabiki wa soka bila kuipenda Yanga? Sijawahi kupata jibu.

Yanga ni furaha, Yanga ni upendo, Yanga ni kielelezo cha ladha halisi ya soka. Ifike hatua huyu Mayele tumtafutie jina lake maalumu ili kumtofautisha na wengine. Mayele aitwe mshambuliaji na Kibu Dennis naye aitwe mshambuliaji ni kuukosea heshima mchezo wa soka.

Nikipata nafasi ya kukutana na Moses Katumbi nitamuuliza, Mheshimiwa umejisikiaje kucheza na timu kubwa?
Kumbuka mechi hazijaisha
 
Wazaramo wanasema "USINENE UKAMALA".

Uwe UNAWEKA Akiba ya Maneno.
Unataka kumaliza yote siku Moja.

TAFUTA HEKIMA.
UWE NA KIASI.
FURAHA ISIPITILIZE SANAAAAAA....
Nazani nyie Simba mlitakiwa mjifunze kwanza haya mloandika
 
Niseme nini kuhusu Yanga Africa, niambieni niseme nini? Mpaka kesho najiuliza hivi inawezekana vipi kuwa shabiki wa soka bila kuipenda Yanga? Sijawahi kupata jibu.

Yanga ni furaha, Yanga ni upendo, Yanga ni kielelezo cha ladha halisi ya soka. Ifike hatua huyu Mayele tumtafutie jina lake maalumu ili kumtofautisha na wengine. Mayele aitwe mshambuliaji na Kibu Dennis naye aitwe mshambuliaji ni kuukosea heshima mchezo wa soka.

Nikipata nafasi ya kukutana na Moses Katumbi nitamuuliza, Mheshimiwa umejisikiaje kucheza na timu kubwa?
atakujibu ndio mpira
 
Niseme nini kuhusu Yanga Africa, niambieni niseme nini? Mpaka kesho najiuliza hivi inawezekana vipi kuwa shabiki wa soka bila kuipenda Yanga? Sijawahi kupata jibu.

Yanga ni furaha, Yanga ni upendo, Yanga ni kielelezo cha ladha halisi ya soka. Ifike hatua huyu Mayele tumtafutie jina lake maalumu ili kumtofautisha na wengine. Mayele aitwe mshambuliaji na Kibu Dennis naye aitwe mshambuliaji ni kuukosea heshima mchezo wa soka.

Nikipata nafasi ya kukutana na Moses Katumbi nitamuuliza, Mheshimiwa umejisikiaje kucheza na timu kubwa?
Unaweza kufananisha mafanikio ya uto na mazembe? ...au ndo furaha Tu[emoji23]...mazembe hii imejichokea sio Kama ya kipindi cha nyuma hata Azam wangewafunga
 
Back
Top Bottom