Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Ma daktari wetu huku Africa huwa wanajitahidi sana kutuhudumia, wengine hujituma hadi kufanya tafiti ya tiba mbali mbali kwa maradhi mengine yanayoibuka kila leo, ila sasa wana changamoto moja tu.
Pale wanapoanza kuchukua vipimo vyote vinavyotakiwa kwa mgonjwa yakiwa magonjwa makubwa au madogo, tuache kuzungumzia uvimbe, vidonda ila magonjwa yale ambayo mgonjwa hujisikia kuumwa sana na daktari kuwa na muda mwingi wa kufikiria la kufanya.
Sasa changamoto inakuja pale ambapo pamoja na kuchukua vipimo vyote vinavyo hitajika ili kubaini tatizo la mgonjwa kisha kuishia kutopata majibu yani hamna ugonjwa au kila kitu kiko sawa au kila kiungo mwilini kiko sawa na hakuna tatizo au mwilini hana tatizo lolote lile, ila mgonjwa analia au anajiskia kuumwa sana.
Vipimo vyote vinaonyesha hamna shida. Hii ni changamoto kubwa kwa madaktari wetu wanakutana nayo na hili madactari huwa wana tatuaje.
Pale wanapoanza kuchukua vipimo vyote vinavyotakiwa kwa mgonjwa yakiwa magonjwa makubwa au madogo, tuache kuzungumzia uvimbe, vidonda ila magonjwa yale ambayo mgonjwa hujisikia kuumwa sana na daktari kuwa na muda mwingi wa kufikiria la kufanya.
Sasa changamoto inakuja pale ambapo pamoja na kuchukua vipimo vyote vinavyo hitajika ili kubaini tatizo la mgonjwa kisha kuishia kutopata majibu yani hamna ugonjwa au kila kitu kiko sawa au kila kiungo mwilini kiko sawa na hakuna tatizo au mwilini hana tatizo lolote lile, ila mgonjwa analia au anajiskia kuumwa sana.
Vipimo vyote vinaonyesha hamna shida. Hii ni changamoto kubwa kwa madaktari wetu wanakutana nayo na hili madactari huwa wana tatuaje.