Z K Ahmad
Member
- Mar 16, 2019
- 29
- 36
Je, Kama Kijana umejipanga vipi kuyaandaa hayo maisha_ au imekuwa Ni Kama simulizi kwa vijana wenzio bila kuwa na mipango_.
Vijana tujiajiri! Vijana tujitume_! Tuwe wabunifu, wapo vijana wanafuga na wanaendesha maisha yao vizuri na wengine wanalima, wengine wanajikongoja kwa Mambo madogo ya ujasiriamali_
Don't Loose Hope.
Vijana tujiajiri! Vijana tujitume_! Tuwe wabunifu, wapo vijana wanafuga na wanaendesha maisha yao vizuri na wengine wanalima, wengine wanajikongoja kwa Mambo madogo ya ujasiriamali_
Don't Loose Hope.