Moja ya dalili ya kijana kukosa maadili ya wazazi ni kuwafanya Wasanii wa muziki, drama na Filamu kuwa Role Model

Moja ya dalili ya kijana kukosa maadili ya wazazi ni kuwafanya Wasanii wa muziki, drama na Filamu kuwa Role Model

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Mpo salama Kabisa!

Ukiona watoto au kijana ambaye ni fuata mkumbo, fasheni, mfuasi na kawageuza Wasanii wa Muziki, Drama, na Filamu kuwa Role model ujue tayari mzazi au mlezi kuna mahali amefeli.

Na ili umfelishe mtu yeyote au Jamii yeyote itakupasa uwape nguvu Wasanii wa drama, Filamu na Muziki. Ndio Njia rahisi Kabisa ya kumfelisha Mtu hasa Akiwa mchanga Kabisa, kijana.

Jamii Makini na ambazo zinaweza WA kufanya mabadiliko makubwa kwa wakati hujao hudhibiti Sana Masuala ya Filamu, Muziki na drama. Huyapa kipombele kidogo na kuyadhibiti yasionekane kirahisi kwa Watoto na vijana wadogo.

Ni kupitia Muziki, drama na Filamu ndipo mtoto anaweza kuharibiwa vibaya future yake, mitazamo yake, uwezo wake wa kufikiri na mitindo yake ya Maisha.

Wazazi wenye mipango ya kutawala wengine, wazazi wenye kuandaa watoto kuwa success Planner, huwadhibiti watoto kuangalia mambo ya hovyo mtandaoni na kwenye Luninga.

Mtoto wa Miaka chini ya kumi na nane. Hatoweza Kupata faida yoyote Ile kwa kuangalia na kusikiliza Muziki wa kisasa, drama na Filamu za kisasa zilizojaa Maudhui yaliyokosa maadili.

Vijana wengi wa Miaka ya 80-90 walioharibika kwa kutumia madawa ya kulevya, kujiingiza kwenye ushoga na usagaji, kutembea uchi , kujichora Tattoo wengi wao ni matokeo ya kuwaiga Wasanii wa Muziki, drama na Filamu.

Mimi ni Mtunzi wa Simulizi pamoja na scene za drama na Filamu. Kama Mtunzi ambaye zipo baadhi ya scene nilizozitunga kwa baadhi ya Filamu na tamthilia. Ninafahamu Kile ninachokisema kutokana na Kazi za utunzi, uongozaji na utayarishaji wa Filamu.

Haiwi bahati mbaya Wasanii kukaa uchi. Haiwi bahati mbaya kwenye Filamu kuonyesha urahisi katika maisha, na wahusika kukaa uchi. Sio kwa bahati Mbaya..
Unafikiri haiwezekani Wasanii wa Muziki, drama au Filamu kuigiza Bila uchafu na mambo yasiyofaa. Inawezekana Kabisa.

Ni jukumu la mzazi kudhibiti mtoto wake mwenye umri chini ya miaka 18 anayemtegemea na ambaye yupo nyumbani kuangalia Muziki wa kisasa, drama na Filamu.

Mtoto aliyeanza kujitegemea, uliyemfunza akafunzika ndiye anaweza kuanza kuangalia hao wasanii kwani tayari ushamjenga na hawezi kuhadaika na Drama, ulaghai na propaganda mbaya zinazoendeshwa nao.

Watoto wadogo hawapaswi kuyachukulia maisha kama Entertainment na Sports. Kwani maisha sio burudani na michezo.
Maisha ni KAZI kwa asilimia tisini
Kisha burudani na Michezo ndio kwa asilimia 10.

Mtoto mdogo kuanza kuchukulia maisha ni burudani na Michezo ni kumfanya aendekeze Michezo na burudani kwa asilimia 90% na Kazi asilimia 10.

Ahsante Sana.

Mtibeli, Safarini
 
Sio mara zote labda useme hii ni sababu mojawapo ya sababu nyingie

Mara nyingi.

Fanya research. Kwa watoto wenye Miaka 10

1. Chukua watoto kumi wawekee Muziki, drama na Filamu Fanya kwa Miaka 5

2. Kisha chukua watoto wengine 10 wadhibiti wasiangalie Muziki, drama na Filamu alafu Fanya kwa Miaka mitano.

Kisha angalia Matokeo
 
Muziki unafundishaje sijawahi kuelewa...

Unafundisha Mkuu.
Ila kwa ujumla mtoto na Luninga au mitandao ya kijamii sio sehemu rafiki Sana.

Akiwa anaangalia lazima mzazi au mlezi uwepo hapo. Na iwe kwa ratiba maalumu
Labda kila jumamosi au kila wikiendi Lisaa limoja.

Akifika Miaka kuanzia 18 huko ndio angalau unamuachia polepole polepole.
 
Mpo salama Kabisa!

Ukiona watoto au kijana ambaye ni fuata mkumbo, fasheni, mfuasi na kawageuza Wasanii wa Muziki, Drama, na Filamu kuwa Role model ujue tayari mzazi au mlezi kuna mahali amefeli.

Na ili umfelishe mtu yeyote au Jamii yeyote itakupasa uwape nguvu Wasanii wa drama, Filamu na Muziki. Ndio Njia rahisi Kabisa ya kumfelisha Mtu hasa Akiwa mchanga Kabisa, kijana.

Jamii Makini na ambazo zinaweza WA kufanya mabadiliko makubwa kwa wakati hujao hudhibiti Sana Masuala ya Filamu, Muziki na drama. Huyapa kipombele kidogo na kuyadhibiti yasionekane kirahisi kwa Watoto na vijana wadogo.

Ni kupitia Muziki, drama na Filamu ndipo mtoto anaweza kuharibiwa vibaya future yake, mitazamo yake, uwezo wake wa kufikiri na mitindo yake ya Maisha.

Wazazi wenye mipango ya kutawala wengine, wazazi wenye kuandaa watoto kuwa success Planner, huwadhibiti watoto kuangalia mambo ya hovyo mtandaoni na kwenye Luninga.

Mtoto wa Miaka chini ya kumi na nane. Hatoweza Kupata faida yoyote Ile kwa kuangalia na kusikiliza Muziki wa kisasa, drama na Filamu za kisasa zilizojaa Maudhui yaliyokosa maadili.

Vijana wengi wa Miaka ya 80-90 walioharibika kwa kutumia madawa ya kulevya, kujiingiza kwenye ushoga na usagaji, kutembea uchi , kujichora Tattoo wengi wao ni matokeo ya kuwaiga Wasanii wa Muziki, drama na Filamu.

Mimi ni Mtunzi wa Simulizi pamoja na scene za drama na Filamu. Kama Mtunzi ambaye zipo baadhi ya scene nilizozitunga kwa baadhi ya Filamu na tamthilia. Ninafahamu Kile ninachokisema kutokana na Kazi za utunzi, uongozaji na utayarishaji wa Filamu.

Haiwi bahati mbaya Wasanii kukaa uchi. Haiwi bahati mbaya kwenye Filamu kuonyesha urahisi katika maisha, na wahusika kukaa uchi. Sio kwa bahati Mbaya..
Unafikiri haiwezekani Wasanii wa Muziki, drama au Filamu kuigiza Bila uchafu na mambo yasiyofaa. Inawezekana Kabisa.

Ni jukumu la mzazi kudhibiti mtoto wake mwenye umri chini ya miaka 18 anayemtegemea na ambaye yupo nyumbani kuangalia Muziki wa kisasa, drama na Filamu.

Mtoto aliyeanza kujitegemea, uliyemfunza akafunzika ndiye anaweza kuanza kuangalia hao wasanii kwani tayari ushamjenga na hawezi kuhadaika na Drama, ulaghai na propaganda mbaya zinazoendeshwa nao.

Watoto wadogo hawapaswi kuyachukulia maisha kama Entertainment na Sports. Kwani maisha sio burudani na michezo.
Maisha ni KAZI kwa asilimia tisini
Kisha burudani na Michezo ndio kwa asilimia 10.

Mtoto mdogo kuanza kuchukulia maisha ni burudani na Michezo ni kumfanya aendekeze Michezo na burudani kwa asilimia 90% na Kazi asilimia 10.

Ahsante Sana.

Mtibeli, Safarini
Zaidi ya ukosefu wa maadili pia ni ukosefu wa akili
 
Mkuu, mimi nilipokuwa mdogo nilikuwa naangalia TV sana na kusikiliza mziki Kusoma riwaya.

Nilitamani kuja kuwa best musician na author na role models wangu walikuwa Master KG na Denzel Washington.
Nimefanikiwa kufika malengo kwa asilimia kadhaa, sababu nimefanikiwa kuhold bachelor in music na nimepata elimu ya filam pale Nafasi Art Space.
Sipo kwenye sanaa rasmi bado kwa sababu mbalimbali. But naamini katika kazi au demo zangu ambazo zipo kapuni.

Mtoto anapaswa achahuliwa burudani za kuangalia. Na hilo lilikuwa jambo ambalo mama alikuwa akilizingatia. Ikiwa watoto watakwepa kuangalia hizo kazi za sanaa kwa ujumla basi hii itapoteza wasanii mbeleni na inaonekana hizo kazi hazina faida.

Maisha yangu yameongozwa na muziki, filam na riwaya na sioni sehem yoyote nimefeli kuzingatia hizo burudani. Inshort sizimagi mziki nyumbani eneo la kazi. Filam ndo maisha. Waswahili wananiitaga mtumishi wakiona nimejaza riwaya home. Wasomi hudai sipati chochote bora ningesoma self help books.
Kikubwa tuwe makini na aina ya burudani
 
Mpo salama Kabisa!

Ukiona watoto au kijana ambaye ni fuata mkumbo, fasheni, mfuasi na kawageuza Wasanii wa Muziki, Drama, na Filamu kuwa Role model ujue tayari mzazi au mlezi kuna mahali amefeli.

Na ili umfelishe mtu yeyote au Jamii yeyote itakupasa uwape nguvu Wasanii wa drama, Filamu na Muziki. Ndio Njia rahisi Kabisa ya kumfelisha Mtu hasa Akiwa mchanga Kabisa, kijana.

Jamii Makini na ambazo zinaweza WA kufanya mabadiliko makubwa kwa wakati hujao hudhibiti Sana Masuala ya Filamu, Muziki na drama. Huyapa kipombele kidogo na kuyadhibiti yasionekane kirahisi kwa Watoto na vijana wadogo.

Ni kupitia Muziki, drama na Filamu ndipo mtoto anaweza kuharibiwa vibaya future yake, mitazamo yake, uwezo wake wa kufikiri na mitindo yake ya Maisha.

Wazazi wenye mipango ya kutawala wengine, wazazi wenye kuandaa watoto kuwa success Planner, huwadhibiti watoto kuangalia mambo ya hovyo mtandaoni na kwenye Luninga.

Mtoto wa Miaka chini ya kumi na nane. Hatoweza Kupata faida yoyote Ile kwa kuangalia na kusikiliza Muziki wa kisasa, drama na Filamu za kisasa zilizojaa Maudhui yaliyokosa maadili.

Vijana wengi wa Miaka ya 80-90 walioharibika kwa kutumia madawa ya kulevya, kujiingiza kwenye ushoga na usagaji, kutembea uchi , kujichora Tattoo wengi wao ni matokeo ya kuwaiga Wasanii wa Muziki, drama na Filamu.

Mimi ni Mtunzi wa Simulizi pamoja na scene za drama na Filamu. Kama Mtunzi ambaye zipo baadhi ya scene nilizozitunga kwa baadhi ya Filamu na tamthilia. Ninafahamu Kile ninachokisema kutokana na Kazi za utunzi, uongozaji na utayarishaji wa Filamu.

Haiwi bahati mbaya Wasanii kukaa uchi. Haiwi bahati mbaya kwenye Filamu kuonyesha urahisi katika maisha, na wahusika kukaa uchi. Sio kwa bahati Mbaya..
Unafikiri haiwezekani Wasanii wa Muziki, drama au Filamu kuigiza Bila uchafu na mambo yasiyofaa. Inawezekana Kabisa.

Ni jukumu la mzazi kudhibiti mtoto wake mwenye umri chini ya miaka 18 anayemtegemea na ambaye yupo nyumbani kuangalia Muziki wa kisasa, drama na Filamu.

Mtoto aliyeanza kujitegemea, uliyemfunza akafunzika ndiye anaweza kuanza kuangalia hao wasanii kwani tayari ushamjenga na hawezi kuhadaika na Drama, ulaghai na propaganda mbaya zinazoendeshwa nao.

Watoto wadogo hawapaswi kuyachukulia maisha kama Entertainment na Sports. Kwani maisha sio burudani na michezo.
Maisha ni KAZI kwa asilimia tisini
Kisha burudani na Michezo ndio kwa asilimia 10.

Mtoto mdogo kuanza kuchukulia maisha ni burudani na Michezo ni kumfanya aendekeze Michezo na burudani kwa asilimia 90% na Kazi asilimia 10.

Ahsante Sana.

Mtibeli, Safarini
Exquisite....

Inakuwa kazi sana pale kijana huyo alipozaliwa na wazazi wasio na kanuni za maadili....kijana huwa na ombwe la kimaisha na kuangukia kwa hao wasanii ambao nao wengi wao hawana maadili na waliokosa maadili ya familia....

Ni "cycle" ya KUPOTEZANA na inayorithishwa......

#Maisha si lelemama!
#Bila ya maadili mema ,maisha ni mzigo kwa mhusika na wanaomzunguka!
 
Exquisite....

Inakuwa kazi sana pale kijana huyo alipozaliwa na wazazi wasio na kanuni za maadili....kijana huwa na ombwe la kimaisha na kuangukia kwa hao wasanii ambao nao wengi wao hawana maadili na waliokosa maadili ya familia....

Ni "cycle" ya KUPOTEZANA na inayorithishwa......

#Maisha si lelemama!
#Bila ya maadili mema ,maisha ni mzigo kwa mhusika na wanaomzunguka!

Ni kweli Kabisa
 
Mkuu, mimi nilipokuwa mdogo nilikuwa naangalia TV sana na kusikiliza mziki Kusoma riwaya.

Nilitamani kuja kuwa best musician na author na role models wangu walikuwa Master KG na Denzel Washington.
Nimefanikiwa kufika malengo kwa asilimia kadhaa, sababu nimefanikiwa kuhold bachelor in music na nimepata elimu ya filam pale Nafasi Art Space.
Sipo kwenye sanaa rasmi bado kwa sababu mbalimbali. But naamini katika kazi au demo zangu ambazo zipo kapuni.

Mtoto anapaswa achahuliwa burudani za kuangalia. Na hilo lilikuwa jambo ambalo mama alikuwa akilizingatia. Ikiwa watoto watakwepa kuangalia hizo kazi za sanaa kwa ujumla basi hii itapoteza wasanii mbeleni na inaonekana hizo kazi hazina faida.

Maisha yangu yameongozwa na muziki, filam na riwaya na sioni sehem yoyote nimefeli kuzingatia hizo burudani. Inshort sizimagi mziki nyumbani eneo la kazi. Filam ndo maisha. Waswahili wananiitaga mtumishi wakiona nimejaza riwaya home. Wasomi hudai sipati chochote bora ningesoma self help books.
Kikubwa tuwe makini na aina ya burudani

Mkuu watoto kama wewe ni Wachache
Ni Sawa na watoto waliosoma shule za Kayumba waliofaulu. Ni talented na wanaoweza kujisimamia wenyewe.

Ni Wachache
 
Back
Top Bottom