Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Wakuu Kwema!
Leo sina mengi Sana ya kusema,
Mtoto wangu aliniuliza hivi; Baba ni Dalili gani ya wazi itakayonifanya nimjue kiongozi huyu ni Mpumbavu ili nijiepushe naye?
Swali lake linashangaza Sana. Ukizingatia yeye ni mtoto wa miaka sita tuu.
Nikamjibu;
Kiongozi Mpumbavu utamtambua Kwa dalili ya yeye kutaka kuogopwa.
Alafu Dalili ya pili, inafanana na hiyo ya Kwanza, ambayo; KUDHANI ANAOGOPEKA.
Hivyo ndivyo nilivyomjibu mwanangu,
Akanishukuru Sana alafu akasema; Sawa nitaweza kujiepusha.na kiongozi Mpumbavu.
Nilitaka kumuuliza atajiepusha naye wapi, nikafikiri isijekuwa ananisema kidizaini Baba yake,
Anyways, niseme tuu. Ukijiona unadhani kwenye akili yako watu wanakuogopa jua tayari upo kwenye kundi la watu wapumbavu, lakini ukiwa unafanya juhudi watu wakuogope basi wewe upo Kwenye Upumbavu Mkuu.
SABATO NJEMA.
Leo sina mengi Sana ya kusema,
Mtoto wangu aliniuliza hivi; Baba ni Dalili gani ya wazi itakayonifanya nimjue kiongozi huyu ni Mpumbavu ili nijiepushe naye?
Swali lake linashangaza Sana. Ukizingatia yeye ni mtoto wa miaka sita tuu.
Nikamjibu;
Kiongozi Mpumbavu utamtambua Kwa dalili ya yeye kutaka kuogopwa.
Alafu Dalili ya pili, inafanana na hiyo ya Kwanza, ambayo; KUDHANI ANAOGOPEKA.
Hivyo ndivyo nilivyomjibu mwanangu,
Akanishukuru Sana alafu akasema; Sawa nitaweza kujiepusha.na kiongozi Mpumbavu.
Nilitaka kumuuliza atajiepusha naye wapi, nikafikiri isijekuwa ananisema kidizaini Baba yake,
Anyways, niseme tuu. Ukijiona unadhani kwenye akili yako watu wanakuogopa jua tayari upo kwenye kundi la watu wapumbavu, lakini ukiwa unafanya juhudi watu wakuogope basi wewe upo Kwenye Upumbavu Mkuu.
SABATO NJEMA.