CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
- Thread starter
-
- #21
poa nimeku pmMkuu naomba unicheck 0753255844 ninawaza hivyo huenda ukanisaidia.
Yes ni kazi ngumu asikuambia.mtu yaani inahitaji ujasiri wa kipekeee kabisaKukuelewa ulicho zungumza itahitaji mda wa kutosha japo kinaeleweka kwa wanao jua kusoma na kutafakari
Asante kwa ujumbe mzuri na wenye kueleweka
Nashukuru mkuu wengine tumepitia haya na kwa sasa tuko huruYes ni kazi ngumu asikuambia.mtu yaani inahitaji ujasiri wa kipekeee kabisa
Am so proud to be the one on this forum of great thinkersHabari za mida wakuu?
Kwanza ifahamike kwamba kuacha kazi na kuingia kwenye ajira binafisi ni zoezi gumu sana. ni maamuzi magumu na huenda ndo maamuzi magumu kabisa ni zaidi ya maamuzi ya kupeana talaka.
Katika watu 1000 ni watu watatu tu wanao weza kuchukua huo uamuzi mugumu kabisa.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba unakuta tiyari mentality iko kwenye kuajiriwa.
SASA TUNAFANYAJE?.AU TUNAKOMAA NA KAZI?
1.Anza kwa kubadili marafiki, na watu wengine wanao kuzunguka. Marafiki ambao unaona malengo yao ni miselei unatakiwa kuanza kuwa kwepa sana na anza kuambata na wale walio kwenye ajira binafisi. hawa mkikutana story zitakuwa ni za Biashara tu.
2. Jitahidi sana kuishi maisha normal, hii ni kwa muda wote, ishi levo ya kawaida ila mahitaji yote yawepo.Familia yako izoeshe hayo maisha normal.
3. Kama una mke/mme hakikisha anakuwa bise asikae tu, usiplani kuacha kazi ilihali mke ni Golikipa, hakikisha anaingiza chochote kile hata kama ni Tsh 3000 kwa siku.
3. Watoto wako, kama wako wakubwa kabisa 18+basi wasikae nyumbani na kula na wao wapangie majukumu yaani ilimuradi kila mmoja awe na mchango fulani, wanaweza kuwa wafanyakazi kwenye project yako mpya au basi wafungulie vimradi vyao n waambie hapo ndo pesa yao ya kula, na kuvaa itakapo toka.
4. Ndugu na jamaa anza kuwapa live kuhusu misaada na bakiza misaada muhimu pekeee, kama matibabu au Ugonjwa.
Kama ndugu zako wana nguvu wafanye kazi na kama vipi chukua waje kukusaidia wawe sehemu ya wafanya kazi.
Hata wazazi kama wana nguvu bado za kutosha wasisitize wafanye kazi pia.
5. Kama una pesa ya kutosha kata kabisa bima ya afya ya familia yako yote. Hakuna kitu kina kula pesa kama matibabu yaani unaweza filisika au mtaji unaweza ishia kwenye kuuguza.
6. Kama umepanga pia lipa hata kodi ya mwaka mzima.
7. Kazini anza kuwaza kazi zako muda wote na ukiwa kazini ukaanza kusikia wana mjadala wa masilahi ya wafanya kazi wewe kula kona, omba hata uzuru na ondoka.
8.Kama una Idea yako tiyari basi anzisha project yako ila hii iwe ni dakika zako za mwisho kabisa kazini.
Nitaelezea kwa nini iwe ni dakika za mwisho ndo uanzishe mradi na isiwe kabla sana.
9.Wakati wa likizo au weekend fanya ziara nyingi sana za kuwatembelea walio jiajiri, hasa wanao fanya kile unacho taka kufanya wewe, achana kabisa na viwanja kwa muda huo.
10.Andaa plan yako sasa hasa ya maisha ya ulaiani.
- Familia itaishi vipi,
-Itakula vipi
-Itavaa vipi,
-Ada za wa toto na kadhalila.
Hapa sasa tumia ile ya kule juu kwamba mke awe bise sana na na mnaweza panga kwamba pesa au faida ya biashara fulani itakuwa ni kwa ajili ya Chakula cha nyumbani na pia ada na mavazi.
Na biashara fulani ni.kwa ajili ya Ada ya shule pekee,
Ndo.maana nikasisitiza mama au mzee atangulie fild hata mwaka 1 kabla.
11. Hakikisha usha plan project yako na usha soma kila kitu na inavyo endeswa na hatari zake.
Kamwe usiache ndo ufike home uanze kuuliza watu ufanye nini, hakikisha unafanya utafiti wa kutosha na wa kitalaamu.
Kamwe usifanye kwa sababu jamaa zako au ndugu anafanya au umeshauriwa, no fanya utafiti wa kutosha
13. Hapa sasa unaweza toa notce ya mwezi, waambie ukweli ingawa hapa sasa unaweza kutana na vikwazo vya kutosha kutoka kwa wafanya kazi hasa bosi wako ila kwa sababu usha amua basi wewe aga na waambie ni.maamuzi yako.
14 Hand over kila kitu na kuka kona kama watakufanyia part poa tu.
15.Sasa usha ingia kitaaa, hakikisha kesho yake tiyari uko bise yaani usiache then ukajipa muda wa kupumzika na sijui kwenda kusalimia.
Kuwa bise kadri iwezekanavyo.
NB: Kuacha kazi ni maamuzi magumu sana na yanapaswa kuandkkwa kwenye story ya mafanikio yako.
Mimi sijatumia baadhi ya njia ingawa kuna baadhi hapo jiu nilizitumia.
UJASIRIAMALI SIO.LELE MAMA KUNA WAKATI UTAKUWA UNAONGEA HATA MWENYEWE NJIANI.
MUHIMU
Unapo taka kuacha kazi kamwe na daima usianze kutafuta ushauri kwa watu walioko kwenye ajira, kama ni ushauri basi tafuta kwa watu walio nje ya ajira yaani walio jiajiri wenyewe.
MWISHO
Humu hakuna mtoto hivyo hakuna anaye Danganywa kila mtu na maamuzi yake, ieleweke hivyo.
Chasha Poultry Farm
Kinacho takiwa ni maandalizi mkuuNB: Usiache kazi yako kabla hujapata sehemu ya uhakika hasa kwa usawa huu wa sasa
Anza kuplan sasa, tengeneza Exit strategiesNmeajiliwa na wachina lakini nmewachoka vya kutosha
Nataka nijiajiri ila nawaza ipi fursa nzuri nisaidie wazo mkuu
Hupaswi kuacha kabla.ila unapaswa kutengeneza Exit strategiesNB: Usiache kazi yako kabla hujapata sehemu ya uhakika hasa kwa usawa huu wa sasa
sahihi kabisaKinacho takiwa ni maandalizi mkuu
kweli aisee mkuuHupaswi kuacha kabla.ila unapaswa kutengeneza Exit strategies
Lazima kupambana kuishinda Umasikinikweli aisee mkuu
kwa namna yoyote ile iliyo sahihiLazima kupambana kuishinda Umasikini
This is very practical Chasha.....imetulia sana na ndio uhalisia wenyewe.Habari za mida wakuu?
Kwanza ifahamike kwamba kuacha kazi na kuingia kwenye ajira binafisi ni zoezi gumu sana. ni maamuzi magumu na huenda ndo maamuzi magumu kabisa ni zaidi ya maamuzi ya kupeana talaka.
Katika watu 1000 ni watu watatu tu wanao weza kuchukua huo uamuzi mugumu kabisa.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba unakuta tiyari mentality iko kwenye kuajiriwa.
SASA TUNAFANYAJE?.AU TUNAKOMAA NA KAZI?
1.Anza kwa kubadili marafiki, na watu wengine wanao kuzunguka. Marafiki ambao unaona malengo yao ni miselei unatakiwa kuanza kuwa kwepa sana na anza kuambata na wale walio kwenye ajira binafisi. hawa mkikutana story zitakuwa ni za Biashara tu.
2. Jitahidi sana kuishi maisha normal, hii ni kwa muda wote, ishi levo ya kawaida ila mahitaji yote yawepo.Familia yako izoeshe hayo maisha normal.
3. Kama una mke/mme hakikisha anakuwa bise asikae tu, usiplani kuacha kazi ilihali mke ni Golikipa, hakikisha anaingiza chochote kile hata kama ni Tsh 3000 kwa siku.
3. Watoto wako, kama wako wakubwa kabisa 18+basi wasikae nyumbani na kula na wao wapangie majukumu yaani ilimuradi kila mmoja awe na mchango fulani, wanaweza kuwa wafanyakazi kwenye project yako mpya au basi wafungulie vimradi vyao n waambie hapo ndo pesa yao ya kula, na kuvaa itakapo toka.
4. Ndugu na jamaa anza kuwapa live kuhusu misaada na bakiza misaada muhimu pekeee, kama matibabu au Ugonjwa.
Kama ndugu zako wana nguvu wafanye kazi na kama vipi chukua waje kukusaidia wawe sehemu ya wafanya kazi.
Hata wazazi kama wana nguvu bado za kutosha wasisitize wafanye kazi pia.
5. Kama una pesa ya kutosha kata kabisa bima ya afya ya familia yako yote. Hakuna kitu kina kula pesa kama matibabu yaani unaweza filisika au mtaji unaweza ishia kwenye kuuguza.
6. Kama umepanga pia lipa hata kodi ya mwaka mzima.
7. Kazini anza kuwaza kazi zako muda wote na ukiwa kazini ukaanza kusikia wana mjadala wa masilahi ya wafanya kazi wewe kula kona, omba hata uzuru na ondoka.
8.Kama una Idea yako tiyari basi anzisha project yako ila hii iwe ni dakika zako za mwisho kabisa kazini.
Nitaelezea kwa nini iwe ni dakika za mwisho ndo uanzishe mradi na isiwe kabla sana.
9.Wakati wa likizo au weekend fanya ziara nyingi sana za kuwatembelea walio jiajiri, hasa wanao fanya kile unacho taka kufanya wewe, achana kabisa na viwanja kwa muda huo.
10.Andaa plan yako sasa hasa ya maisha ya ulaiani.
- Familia itaishi vipi,
-Itakula vipi
-Itavaa vipi,
-Ada za wa toto na kadhalila.
Hapa sasa tumia ile ya kule juu kwamba mke awe bise sana na na mnaweza panga kwamba pesa au faida ya biashara fulani itakuwa ni kwa ajili ya Chakula cha nyumbani na pia ada na mavazi.
Na biashara fulani ni.kwa ajili ya Ada ya shule pekee,
Ndo.maana nikasisitiza mama au mzee atangulie fild hata mwaka 1 kabla.
11. Hakikisha usha plan project yako na usha soma kila kitu na inavyo endeswa na hatari zake.
Kamwe usiache ndo ufike home uanze kuuliza watu ufanye nini, hakikisha unafanya utafiti wa kutosha na wa kitalaamu.
Kamwe usifanye kwa sababu jamaa zako au ndugu anafanya au umeshauriwa, no fanya utafiti wa kutosha
13. Hapa sasa unaweza toa notce ya mwezi, waambie ukweli ingawa hapa sasa unaweza kutana na vikwazo vya kutosha kutoka kwa wafanya kazi hasa bosi wako ila kwa sababu usha amua basi wewe aga na waambie ni.maamuzi yako.
14 Hand over kila kitu na kuka kona kama watakufanyia part poa tu.
15.Sasa usha ingia kitaaa, hakikisha kesho yake tiyari uko bise yaani usiache then ukajipa muda wa kupumzika na sijui kwenda kusalimia.
Kuwa bise kadri iwezekanavyo.
NB: Kuacha kazi ni maamuzi magumu sana na yanapaswa kuandkkwa kwenye story ya mafanikio yako.
Mimi sijatumia baadhi ya njia ingawa kuna baadhi hapo jiu nilizitumia.
UJASIRIAMALI SIO.LELE MAMA KUNA WAKATI UTAKUWA UNAONGEA HATA MWENYEWE NJIANI.
MUHIMU
Unapo taka kuacha kazi kamwe na daima usianze kutafuta ushauri kwa watu walioko kwenye ajira, kama ni ushauri basi tafuta kwa watu walio nje ya ajira yaani walio jiajiri wenyewe.
MWISHO
Humu hakuna mtoto hivyo hakuna anaye Danganywa kila mtu na maamuzi yake, ieleweke hivyo.
Chasha Poultry Farm