Moja ya hatua unazoweza kufuata kwenye kujiandaa kuacha kazi na kujiajiri

P
Jiunge bure na ajira hii ya mtandaoni upate pesa bila mtaji.

1.Ajira hii haihitaji kipato wala elimu ina hitaji muda na kifurushi cha intanet tu
2.Ukijisajili ili uweze kutoa pesa itakubidi ufikishe dola 150$ na referrals 40 kwa Mara ya kwanza,usijaribu kutoa kama hujatimiza vigezo hivyo,Ila ukisha toa kwa Mara ya kwanza baada ya hapo zitatoka kila unapo fikisha 10$ na kuendelea

3.Malipo yana fanyika kwenye account ya benki yoyote hapa nchini kwetuau West Union.

Ku pata dola 150$ ni rahisi itakuchukua saa moja na nusu kwa kufanya kazi bila kusimama.

Kazi yenyewe niku andika namba zinazoonekana na kutuma basi
Boyeza linki[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Viewing payed advertising sites vbmoney.site - Welcome!
Washilikisha na wenzako wajiunge kupitia link yako kwa kufanya hivyo utalipwa 50% ya kiasi anacholipwa

[emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161]
 
Kitu kimoja unachokosea Chasha Poultry Farm ni kudhani kuwa njia bora zaidi ya kufanya maisha ni moja tu nayo ni kujiajira. Ukweli ni kwamba, kama vile wewe unavyojisikia vizuri kujiajiri kuna watu wengine wengi tu wanaridhika na kuajiriwa. Acha kufikiri kwamba kila mtu aliyeajiriwa anataka kujiajiri ila anaogopa kuacha kazi.

Ukiacha hayo niliyosema hapo juu, mawazo yako ni mazuri sana kwa mtu anayetaka kuacha ajira ili ajiajiri.
 
Elimu kuntu hii so Care International ushawabwagaaa¿¿
 
At that time naacha kazi shirika moja hivi ghafla boss wangu akaibuka na kusema nimepiga mafuta ya gari mengi sana ndo mana naacha kazi,akanitia msuko suko lakini MUNGU akanisimamia.cha ajabu yeye ndo mpigaji kumzidi hata shetani,lakini ni mwaka sasa nishajizoelea zangu kula magengeni ugali dagaa japo familia inagonga ugali kuku.mdogo mdogo nasonga
 
Halafu unatakiwa ujifanye kichaaa kidogo yaan kila mmoja atakuongea wewe...unatakiwa kuziba masikio Mimi naheshimu sana MTU aliyejiajiri kuliko aliyeajiriwa...usiniulize kwnn...
 


kamanda mchona meli moto hongera kwa post nzuri
 
Good mentors train interpreneur patience +Consistence differently.


Post zako zinanitia moyo....
Chasha/Ontario/JF expert members...b blessed
 
Aiseee nimeacha kazi miezi miwili iliyopita.....maneno niliyoambiwa na vitishi kuvimudu nilipata wakati mgumu sana...thanks God life is going on!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…