Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Magufuli alimpatia mzee Bakhresa ekari karibia Elfu ishirini huko Bagamoyo ili alime miwa na kuzalisha sukari. Jamaa kafanya kweli. Inakadiriwa kuwa nchi yetu mahitaji ya sukari kwa mwaka ni tani 700,000 lakini uzalishaji ni kama tani 400,000. kiwanda cha Bakhresa kinategemewa kuzalisha tani 30,000. Safari ya kuweza kujitosheleza bado ndefu sana.
Sababu nchi yetu ni kubwa na ina mabonde kibao mito na maziwa, wawekezaji wengine wengi; hasa wa ndani, wangepewa maeneo zaidi wazalishe sukari. Ni aibu kwa linchi kama Tanzania kushindwa kuzalisha sukari ya kutosha wakati Mauritius ambayo inaingia kwa Tanzania karibu mara 500, wanazalisha tani 500,000 kwa mwaka.
Magufuli atakumbukwa kwa jambo hili zuri alilofanya. Kiwanda hicho kitazalisha ajira za kutosha kiwandani na outgrowers kibao ambao wametengewa karibia ekari 7,000
Sababu nchi yetu ni kubwa na ina mabonde kibao mito na maziwa, wawekezaji wengine wengi; hasa wa ndani, wangepewa maeneo zaidi wazalishe sukari. Ni aibu kwa linchi kama Tanzania kushindwa kuzalisha sukari ya kutosha wakati Mauritius ambayo inaingia kwa Tanzania karibu mara 500, wanazalisha tani 500,000 kwa mwaka.
Magufuli atakumbukwa kwa jambo hili zuri alilofanya. Kiwanda hicho kitazalisha ajira za kutosha kiwandani na outgrowers kibao ambao wametengewa karibia ekari 7,000