Moja ya jambo bora kufanywa na Magufuli ni kuanzisha kiwanda cha sukari Bagamoyo

Moja ya jambo bora kufanywa na Magufuli ni kuanzisha kiwanda cha sukari Bagamoyo

Kwa nini unafikiri nj lazima au muhimu sana nchi izalishe yenyewe ndani sukari ya kujitosheleza?
Kutoa ajira, kuondoa urasimu kwenye soko la sukari, uhakika na usalama kwa watumiaji maana enzi za jk ilikuwa inakuja sukari reject au iliyo expire kutoka brazil. Mara nyingi ulikuwa ukifika madukani unaona nyuki wamezunguka beseni la sukari au nyingine ukitia kwenye chai unaona kama kuna vichupa chupa vinaelea. Tumekula sana sumu.
 
Unafikiri baada ya miaka 3 ijayo mahitaji yetu ya sukari bado yataendelea kuwa tana laki 7?
Magufuli alimpatia mzee Bakhresa ekari karibia Elfu ishirini huko Bagamoyo ili alime miwa na kuzalisha sukari. Jamaa kafanya kweli. Inakadiriwa kuwa nchi yetu mahitaji ya sukari kwa mwaka ni tani 700,000 lakini uzalishaji ni kama tani 400,000. kiwanda cha Bakhresa kinategemewa kuzalisha tani 30,000. Safari ya kuweza kujitosheleza bado ndefu sana.

Sababu nchi yetu ni kubwa na ina mabonde kibao mito na maziwa, wawekezaji wengine wengi; hasa wa ndani, wangepewa maeneo zaidi wazalishe sukari. Ni aibu kwa linchi kama Tanzania kushindwa kuzalisha sukari ya kutosha wakati Mauritius ambayo inaingia kwa Tanzania karibu mara 500, wanazalisha tani 500,000 kwa mwaka.
Magufuli atakumbukwa kwa jambo hili zuri alilofanya. Kiwanda hicho kitazalisha ajira za kutosha kiwandani na outgrowers kibao ambao wametengewa karibia ekari 7,000


 
Kwa taarifa yako madini tume kuwa tuna export tangu tupate uhuru.

Halafu kwa nini unafikiria ku export kabla ya kushusha bei ya sukari inayopanda kila kukicha?
Huko nako Magufuli alifanya vitu vizuri sana. Tulikuwa tunaexport kwa kulanguliwa, jamaa akanzisha masoko ya dhahabu/madini. Serikali ikaanza kupata pesa ya maana, wachimbaji bei nzuri nk. Cheki miji ya wachimbaji kama Geita na Chunya ilivyobadilika ndani ya muda mfupi. Haya maswala ni mipango tu, bila mipango mnaweza export madini miak elfu na kubaki maskini.

Hiyo ya kushusha bei nayo ni faida pia, japo itachukua muda mpaka pale tutakapoweza kujitosheleza katika uzalishaji wa ndani.
 
Hiyo pesa ya maana serikali iliyokuwa inapata ilikuwa inaenda wapi?
Huko nako Magufuli alifanya vitu vizuri sana. Tulikuwa tunaexport kwa kulanguliwa, jamaa akanzisha masoko ya dhahabu/madini. Serikali ikaanza kupata pesa ya maana, wachimbaji bei nzuri nk. Cheki miji ya wachimbaji kama Geita na Chunya ilivyobadilika ndani ya muda mfupi. Haya maswala ni mipango tu, bila mipango mnaweza export madini miak elfu na kubaki maskini.

Hiyo ya kushusha bei nayo ni faida pia, japo itachukua muda mpaka pale tutakapoweza kujitosheleza katika uzalishaji wa ndani.
 
Usikariri kujitosheleza uzalishaji wa ndani, hayo ni maneno ya wanasiasa tu.
Mataifa mengi tajiri kuanzia Japan, Singapore, ya ulaya, uarabuni wala hayajitoshelezi uzalishaji wa ndani na raia wake wana maisha bora kuliko sehemu kubwa ya dunia.
Huko nako Magufuli alifanya vitu vizuri sana. Tulikuwa tunaexport kwa kulanguliwa, jamaa akanzisha masoko ya dhahabu/madini. Serikali ikaanza kupata pesa ya maana, wachimbaji bei nzuri nk. Cheki miji ya wachimbaji kama Geita na Chunya ilivyobadilika ndani ya muda mfupi. Haya maswala ni mipango tu, bila mipango mnaweza export madini miak elfu na kubaki maskini.

Hiyo ya kushusha bei nayo ni faida pia, japo itachukua muda mpaka pale tutakapoweza kujitosheleza katika uzalishaji wa ndani.
 
Waliporwa wawekezaji wanaitwa Eco Energy.ndo wenye eneo lao toka enzi Raisi ni Mwinyi.Hii itakuja kiwa Case kama ile ya Kaburu Stein aliwai shikiria Ndege SA https://www.ippmedia.com/en/news/bagamoyo-ecoenergy-takes-govt-arbitration
Limekaa vibaya, natumaini litaisha salama. Japo hizi kampuni nyingine zinakuwaga za mfukoni, madalali tu wanaohodhi eneo na kuanza kutafuta mitaji. Nimesoma hiyo article kwamba jamaa walipewa hekta 20,000. Bakhresa kamegewa kama 8,000. Wakubaliane wapewe waendeleze zilizobaki.
 
JPM mzee wa kuacha ALAMA KUBWA KUBWA....

JPM mzee wa MAAMUZI MAKUBWA NA MAZITO.....

Hakika LEGACY yake ipo ,itakuwepo na itaishi.....

Barukh Atah Adonai Eloheinu melekh ha'olam dayan ha-emet 🤲🤲

Yetzer Ha-Tov

RiP JPM ,amen 🤲

#SiempreSSH
#SiempreJMT
#NchiKwanza
 
"Sababu nchi yetu ni kubwa na ina mabonde kibao mito na maziwa, wawekezaji wengine wengi; hasa wa ndani, wangepewa maeneo zaidi wazalishe sukari"
Limekaa vibaya, natumaini litaisha salama. Japo hizi kampuni nyingine zinakuwaga za mfukoni, madalali tu wanaohodhi eneo na kuanza kutafuta mitaji. Nimesoma hiyo article kwamba jamaa walipewa hekta 20,000. Bakhresa kamegewa kama 8,000. Wakubaliane wapewe waendeleze zilizobaki.
 
Back
Top Bottom