Moja ya mambo nilioyakuta Tanga kwa wasambaa

Moja ya mambo nilioyakuta Tanga kwa wasambaa

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Katika harakati za kimaisha nikafika Tanga, maeneo yenye wasambaa wengi,

Kitu kilichonishangaza eti waganga wa kienyeji wa kisambaa, yani mtu hajawahi kufika hata Arusha mjini lakini unaambiwa anapandisha mashetani kisha unaambiwa ni shetani la kimasai na anaogea kimasai, kisha kuna kijana anapewa dawa anakua anatafsiri maneno ya mganga.

I wish ningejua kimasai nikaweza kujua wanadanganya watu. Hii inawezekana vipi?
 
Katika harakati za kimaisha nikafika Tanga, maeneo yenye wasambaa wengi,

Kitu kilichonishangaza heti waganga wa kienyeji wa kisambaa, yani mtu hajawahi kufika hata Arusha mjini lakini unaambiwa anapandisha mashetani kisha unaambiwa ni shetani la kimasai na anaogea kimasai, kisha kuna kijana anapewa dawa anakua anatafsiri maneno ya mganga.

I wish ningejua kimasai nikaweza kujua wanadanganya watu. Hii inawezekana vipi?
Wewe si ulienda kwa hao walozi tueleze huyo mchawi alipo pandisha mizuka yake alikwambiaje?
 
Katika harakati za kimaisha nikafika Tanga, maeneo yenye wasambaa wengi,

Kitu kilichonishangaza heti waganga wa kienyeji wa kisambaa, yani mtu hajawahi kufika hata Arusha mjini lakini unaambiwa anapandisha mashetani kisha unaambiwa ni shetani la kimasai na anaogea kimasai, kisha kuna kijana anapewa dawa anakua anatafsiri maneno ya mganga.

I wish ningejua kimasai nikaweza kujua wanadanganya watu. Hii inawezekana vipi?
Unajuaje huyo mganga si Mmasai au Msambaa anayejua kiMasai?
 
Mi kwetu Dar es salaam wale watu wapo pia. Nilikuja kugundua baadae kwamba wapo wengine wako na mental issue halafu wanaamini kile wanachokifanya. Kuna mshikaji mmoja tulikuwa tunapiga na mission town pale Samora Evenue lakini anaishi Mikocheni B. Economically alikuwa okay, lakini kila akiamka asubuhi lazima awashe udi apandishe mashetani anajifunika shuka nyeupe aongeeongee peke yake hapo ndio siku ianze. Mpaka leo yupo town pale nikimtaja jina humu watu wanamfahamu. Baadae nikaja kugundua kumbe mjomba yule ana ugonjwa wa akili kidogo
 
Back
Top Bottom