Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Mkuu; Mtindi sio maziwa fresh. Maziwa fresh ni yale yanayoweza kutumika kutengeneza chai. Ukiyachemsha hufoka sana. Mtindi ukichemsha unasambaratika au unaganda kuwa mabonge-mabonge.Maziwa yao fresh ni mazuri sana