THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Mwalimu ni mwalimu tu, kozi zao wanafundishwa uoga ndio la maana wanalosomeaWa Vijijini ndani ndani kule wa Town hapana.
Wapo majasiri mkuu.japo wengi ni underground nakupa uzoefu wa field mkuu, kwenye chaguzi vituo vilivyo na walimu vingi CCM huangukia pua mara nyingi na wanalifahamu hilo.Ukipata muda pia tembelea MABIBO 'B' S/MSINGI -Ubungo Dar,sema wewe ni mgeni wa Mwalimu CHADEMA- chapu utaitiwa ni mbabe na haijifichi tena ni Mwana Mama.Uende na Chips kuku basi jombaa, siyo mikono mitupu sasa,anapenda kidari, utapata elimu ya ukombozi kama yote.Anajisimamia sana.Mwalimu ni mwalimu tu, kozi zao wanafundishwa uoga ndio la maana wanalosomea
Huwajui walimu wewe.Mwalimu ni mwalimu tu, kozi zao wanafundishwa uoga ndio la maana wanalosomea
Namba 1 ni polisiSipo hapa kudhibitisha hili..hili lipo wazi na lishadhibitika mara nyingi sana.
TLS ashawahi shinda Lissu
Jana kashinda Mwambukusi hawa wote waliwabwaga Machawa wa Ccm.
The same Madaktari washawahi itikisa hii Nchi hadi wakaanza wafanyia ukatili NB:Yule Daktar Ulimboka.
Hii Nchi taaluma moja ambayo ccm wamekalia na haya mawalimu haya utasikia walimu wamuchangia hela ya Fomu #WatchHundred.
Wasomi wa Taaluma ya Ualimu tokea wakiwa vyuoni hua wapowapo tu waliofika chuon watadhibitisha hili.
Kama na walimu nao wakibadilika wakajielewa Ccm itatolewa madarakan..ila kama bado Ccm haitoki hata 2100
#HappySimbaDay
Walimu ni bjaa mno wanahongwa kirahisi mno. Mawakili wasomi wana kauwezoMwalimu ni mwalimu tu, kozi zao wanafundishwa uoga ndio la maana wanalosomea