duh pole kwa kuingizwa mkenge, tafadhali toa taarifa polisi au fungua kesi wao wanajua wata wa charge kwa kosa gani. Lakini pia nina amini polisi kwa kushirikiana na wamiliki wa mitandao ya simu wanaweza kufanikisha kuwakamta hao washenzi. Pia hapo bandarini kuna sehemu wana ccctv camera kama wanaweza kuangalia ili waweze kutoa japo picha na kuzisambaza kwa umaa
INAUMA KUTAPELIWA, NA SIKU YA KUTAPELIWA HUJA KAMA AJALI; NA AJALI HAINA MWENYEWE!! waliomtapeli mdogo wangu, bandarini kwa kuwaihidi kumfanyia mpango wa Gari za Mnada bandarini (zisizo lipwa ushuru) kwakweli dogo aliingia hadi bandarini, akakagua gari, akaambiwa alipe kisha process alizoambiwa ziendelee, yeye asubiri, akasubiri masaa aliyoambiwa...... hadi leo jamaa alipotelea palepale bandarini hakuonekana, simu haipatikani hadi leo!!! namba za matepeli hao ni 0653147021 -huyu ni mdada anaitwa Halima, 0784929778-huyu mwanaume ndo kiunganishi (atakwambia kuhusu kupata gari bandarini ilivo rahisi, na atakuaminisha hadi unaingia laini kama ndio mara yako ya kwanza kusikia hili) na kisha huyu mwanaume anaitwa Shomari Mhunzi- 0753162892 (kwa mjibu wa usajiri wa vodacom)- ndio anakupeleka bandarini ndani hadi kukagua gari-kisha anakupa process--unalipia, kisha anasema subiri sehemu amalize akuletee listi kisha process za kulipa zifuate.
Hao matapeli sijui kama wana ID humu JF, ila hutembelea humu, hasa kwenye thread ya wanaotaka magari humu; ndipo yeye hutafuta mawasiliano na kukupigia.
NAOMBA kama kuna aliye athirika na hawa, hata kama bado wanawasiliana hawajafikia hatua ya kufanya biashara husika, itambulike hivyo kuhusu watu hawa, tusaidiane kuwapata kwa wenye weledi huo. NA inawezekana wanapitia UZI huu, Nawaambia Ni kweli kwa Binadamu inaweza kuwa haiwezekani kuwapata kirahisi; Ila kwa Mungu inawezekana, maana hata sasa YEYE anawaona walipo, wanachofanya na hata wana waza nini, Pia Mungu si dhalimu kiasi cha kufanya wengine walie kwa ajili ya utapeli huo na wao wakabaki wanakula BATA tu kwa hela ya maskini (bora ingekuwa ya kifisadi). Muiomba Mungu hujibiwa, haijalishi lini, lakini Mungu anajua na hapendi udhalimu wa aina hii na unaofanana. WARUDISHE PESA ZA WATU. Matapeli jiangalieni, wengine hawatamtegemea Mungu, Ila duniani kuna Miungu HATARI kuliko rehema za Mungu!! watch out!!!
Naomba ushirikiano wenu, na wengine pia msiingie mkenge kwa utapeli wa namna hii: (be warned)
Duh pole kwa kuingizwa mkenge, tafadhali toa taarifa Polisi au fungua Kesi wao wanajua wata wa charge kwa kosa gani. Lakini pia nina amini Polisi kwa kushirikiana na wamiliki wa mitandao ya simu wanaweza kufanikisha kuwakamta hao WASHENZI. Pia hapo Bandarini kuna sehemu wana CCCTV Camera kama wanaweza kuangalia ili waweze kutoa japo picha na kuzisambaza kwa umaa
INAUMA KUTAPELIWA, NA SIKU YA KUTAPELIWA HUJA KAMA AJALI; NA AJALI HAINA MWENYEWE!! waliomtapeli mdogo wangu, bandarini kwa kuwaihidi kumfanyia mpango wa Gari za Mnada bandarini (zisizo lipwa ushuru) kwakweli dogo aliingia hadi bandarini, akakagua gari, akaambiwa alipe kisha process alizoambiwa ziendelee, yeye asubiri, akasubiri masaa aliyoambiwa...... hadi leo jamaa alipotelea palepale bandarini hakuonekana, simu haipatikani hadi leo!!! namba za matepeli hao ni 0653147021 -huyu ni mdada anaitwa Halima, 0784929778-huyu mwanaume ndo kiunganishi (atakwambia kuhusu kupata gari bandarini ilivo rahisi, na atakuaminisha hadi unaingia laini kama ndio mara yako ya kwanza kusikia hili) na kisha huyu mwanaume anaitwa Shomari Mhunzi- 0753162892 (kwa mjibu wa usajiri wa vodacom)- ndio anakupeleka bandarini ndani hadi kukagua gari-kisha anakupa process--unalipia, kisha anasema subiri sehemu amalize akuletee listi kisha process za kulipa zifuate.
Hao matapeli sijui kama wana ID humu JF, ila hutembelea humu, hasa kwenye thread ya wanaotaka magari humu; ndipo yeye hutafuta mawasiliano na kukupigia.
NAOMBA kama kuna aliye athirika na hawa, hata kama bado wanawasiliana hawajafikia hatua ya kufanya biashara husika, itambulike hivyo kuhusu watu hawa, tusaidiane kuwapata kwa wenye weledi huo. NA inawezekana wanapitia UZI huu, Nawaambia Ni kweli kwa Binadamu inaweza kuwa haiwezekani kuwapata kirahisi; Ila kwa Mungu inawezekana, maana hata sasa YEYE anawaona walipo, wanachofanya na hata wana waza nini, Pia Mungu si dhalimu kiasi cha kufanya wengine walie kwa ajili ya utapeli huo na wao wakabaki wanakula BATA tu kwa hela ya maskini (bora ingekuwa ya kifisadi). Muiomba Mungu hujibiwa, haijalishi lini, lakini Mungu anajua na hapendi udhalimu wa aina hii na unaofanana. WARUDISHE PESA ZA WATU. Matapeli jiangalieni, wengine hawatamtegemea Mungu, Ila duniani kuna Miungu HATARI kuliko rehema za Mungu!! watch out!!!
Naomba ushirikiano wenu, na wengine pia msiingie mkenge kwa utapeli wa namna hii: (be warned)
akienda polisi na yeye atakamatwa, huwezi kwenda kulalamika kwa kutapeliwa katika dili ya kihalifu! Yani polisi wawakamate watu waliokutapeli kwa kutokuuzia gari kinyume na sheria?
akienda polisi na yeye atakamatwa, huwezi kwenda kulalamika kwa kutapeliwa katika dili ya kihalifu! Yani polisi wawakamate watu waliokutapeli kwa kutokuuzia gari kinyume na sheria?
Nahisi hujamuelewa kimsingi ni kwamba huwa kuna Magari/Bidhaa ambazo TRA huwa wanaziuza kwa watu walioziagiza kushindwa kulipa Kodi. Kwahiyo its a legal business sio deal wala wizi, bei ya hizo bidhaa huwa inalenga kulipa Kodi aliyoshindwa kulipa huyo aliekuwa Mteja wao