ASANTE;
Vipaumbele vya Wabunge walioko Bungeni kwa sasa ni:
1.Maslahi yao binafsi
2.Maslahi ya Chama chao ili kiwahakikishie kuendelea kuwepo kwa maslahi yao.
Tusikurupuke ,twende tukafanye utafiti jinsi rwanda wanavyoitekeleza hiyo service ,tuwapeleke wataalamu rwanda sio kina kibajaji au msukuma au mwana fa au babu tale.....Kisha tuifanyie pilot kwanza.
Tusikurupuke ,twende tukafanye utafiti jinsi rwanda wanavyoitekeleza hiyo service ,tuwapeleke wataalamu rwanda sio kina kibajaji au msukuma au mwana fa au babu tale.....Kisha tuifanyie pilot kwanza.