Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Kijana huyu kwenye video niliyoiambatanisha amekamatwa kwenye Msikiti wa Sakina uliopo Mombasa kwa tuhuma za kuiba viatu
Inaelezwa kuwa ni tabia yake na amekuwa akizunguka kwenye Misikiti mbalimbali ya Mombasa na kufanya uhalifu huo
Kupitia video hii anasikika akikiri kufanya kosa hilo na kumuuzia Mtu aliyemtaja kwa jina la Felix
Inaelezwa kuwa ni tabia yake na amekuwa akizunguka kwenye Misikiti mbalimbali ya Mombasa na kufanya uhalifu huo
Kupitia video hii anasikika akikiri kufanya kosa hilo na kumuuzia Mtu aliyemtaja kwa jina la Felix