Zuwenna
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 2,133
- 3,758
Lete mada tuoneNaona miji ya Dar na Mombasa iko sawa. Tunaweza ilinganisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete mada tuoneNaona miji ya Dar na Mombasa iko sawa. Tunaweza ilinganisha
dar itahemeshwa na Mombasa mbaya sana.....ebu niambie tofauti ya dar na msa kwenye izo picha mmeeka?mnajenga flyover ya kwanza dar wakati mombasa ina maliza six lane road na flyover.dar ina ukubwa tu wa bureLete mada tuone
Mombasa+Nairobi +nakuru=Dardar itahemeshwa na Mombasa mbaya sana.....ebu niambie tofauti ya dar na msa kwenye izo picha mmeeka?mnajenga flyover ya kwanza dar wakati mombasa ina maliza six lane road na flyover.dar ina ukubwa tu wa bure
Mombasa is a very beautiful city. another pretty town ni NakuruI never thought Mombasa is that beautiful until today when I went though this 3 tones thread.
Africa is always beautiful.
Ongeza Eldoret hapo piaMombasa+Nairobi +nakuru=Dar
Nikianzisha hii mada nitatukwanwa na WaTz wenzako kwa kulinganisha Dar na MombasaLete mada tuone
acha utani ndugu....Mombasa+Nairobi +nakuru=Dar
Sio cbd hapo...alafu ww boga kumbe ata Dar ujafika unaongea kama falaNikuulize dada, hapo ni CBD?? Yaani mwanzo niulize, barabara hii mbona vumbi kotekote, halafu kandokando hamna sidewalks, na vibanda hivyo vyafanya nini katikati ya jiji??? Sehemu tupu ambazo zinafanya huo mji ukae si mji tena
View attachment 472918
Sio sawa, Mombasa tamu kabisaNaona miji ya Dar na Mombasa iko sawa. Tunaweza ilinganisha
Nikuulize dada, Dar ni wapi panaweza kaa hivi?? Angalia hizo barabara zilivo, Dar ninayoijua yaweza pata mahali safi kama hapa??Lete mada tuone
Sure!Mombasa+Nairobi +nakuru=Dar
Hapo sio cbd boya wewe.Nikuulize dada, hapo ni CBD?? Yaani mwanzo niulize, barabara hii mbona vumbi kotekote, halafu kandokando hamna sidewalks, na vibanda hivyo vyafanya nini katikati ya jiji??? Sehemu tupu ambazo zinafanya huo mji ukae si mji tena
View attachment 472918
Namaanisha wataanza kuwa saltySio sawa, Mombasa tamu kabisa
![]()
Hapo sio cbd boya wewe.