Mombasa City Gallery

Mombasa si mji wa kijinga. Mombasa ni second City ya Kenya. Kuna ata maeneo ya kifahari mengi sana. Mombasa si mji hivi hivi. Na Tanga linganisha na Malindi au Lamu
Upumbavu huo unaosema ,,,Kwenu nyie wakenya Yafaa Sana Mombasa kuwa Ni mji wa PiLi kwa Ukubwa ,,,Coz Hata ivo Kenya Ni nchi ndogo Sana kieneo ,,Tofauti na Tanzania ,,,Iyo mombasa Yenu huku Tanzania Ni sawa Na mkoa wetu mdogo wa Morogoro [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ,,,,Ukubwa wa Tanga Ni sawa na Malindi Watamu Lamu na Kilifi ,,,,Zote ziungane ndo Unapata Tanga mji wa Tanga
 
Picha ni zile zile, wanapiga toka angle tofauti.
Mombasa ni mdogo kuliko Tanga.
Mombasa Ni Kadogo Sana Kwa Tanga ,,,,Nakwambia Japo Moja Kama tanga itapata uongozi mzuri na watu wake wakaelimika wakaachana na Umwinyi ,,,,Tanga itakuwa Ni mji wenye maendeleo East Africa nzima ,,,,Na itawakilisha Coastal zote za Africa mashariki
 
Kumbe ndio maana mnapigizana makelele na wale jamaa!!
Kwanini mnaitaja taja Dar
Wakati habari yenu hii ni Mombasa?

Mngefanya mkaanzisha Dar vs mombasa tuone
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hawatawezaaaaaa
 
YANI NDUGU ZANGU WAKENYA BHANA [emoji23][emoji23][emoji23] MUMENISHINDA TABIA ZENU KWA KWELI ,,,,,,HABARI NLIZOPEWA ETI naskia mwatangaza kuwa ,,Mount Kilimanjaro iko kenya ? [emoji27][emoji27][emoji27] niskia pia mwasema Eti Ali Kiba na Diamond platinumz Ni wakenya ,,huh what ![emoji32][emoji32] nikaskia Tena eti Kigamboni bridge iko kenya [emoji12][emoji12] na Hamkutosheka MkaTamani MagufuLi awe Pia President wa Kenya [emoji26][emoji26],,,,,Hivi nyie mwatutafuta nini Jamani ????? Rizikeni na Mlivonavo kwenye Nchi Yenu ,,,,,Eboooooooooooo [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
acheni kulinganisha dsm na huo ujinga wa mombasa. kwanza huu uzi unahusu upumbavu wa mombasa sijui dar es salaam imeingiaje kwenye hii dust bin.
 
Watu wengi nje ya Africa hawajui kuna nchi kama Tanzania. Watu wengi hufikiria Tanzania ni moja ya mikoa ya KEnya. Ndio maana utaskia wakisema Mt. Kilimanjaro uko Kenya.
 

Nilikuwakwa hilo pambano la Mwanza na Nakuru. Lilienda likazaa lingine la Dodoma na Thika... Hawakuamini.
 
acheni kulinganisha dsm na huo ujinga wa mombasa. kwanza huu uzi unahusu upumbavu wa mombasa sijui dar es salaam imeingiaje kwenye hii dust bin.

Hahahaha.... Nyii watu hamko serious hata kidogo. Mnalinganisha a proper touristic city Mombasa na jiji linakaa Kabul.?
 
Mje huku hawa wakenya wanaleta dharau!!!
Kaa pembeni
nataka kuwapotrza humu
maana hawa watu wajinga sana
Mada wameanzisha wenyewe
mombasa ajabu wanaizungumzia dar!!

pisha tuingie wenyewe
 
sie hatutaki kunenepesha uzi wa kifala kama huu kwa ku-coment, na hatutatuma picha za dsm kwa thread hii mpaka mtakapoanzisha uzi wa dar vs mombasa. napo tutaangalia maana the only city from kenya which can be compared to dsm ni nairobi. kuendelea kukomenti ni kuwapeni kiburi na sifa msizostahili.
 
Ilo ni jiji gani vile...msijesema ni upper hill na west land maana hamshindwi

Daaaaaaaah! Umemaliza!!! Yaani hivi umeonesha wazi. Dar inasemu ndogo sana ambayo inaweza itwa city, Kule pembeni ni mkusanyiko wa watu. City kamwe haiwezi kaa hivyo, vijumba aina hiyo!!
Hapa tu dio Dar jiji!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…