Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha maneno na Polojo twendeOne after another, ndio utaelewa mji si majumba marefu ama ukubwa, ni uzuri wake!!
Mombasa + Nairobi +kisumu=Darni wazi Mombasa is better than dar.....watanzania muwe watu wa kukubali vitu
One after another, ndio utaelewa mji si majumba marefu ama ukubwa, ni uzuri wake!!
Kumbe kuna mTz anajua maana ya bongaMan unabonga shit sana....iyo ni picha ya cbd. ...hapo kariakoo huoni..huioni upanga wala sehemu nyingine kibao...acha kutapika ovyo ushindi hauji kirahisi namna hyo
Weee foleni sikuhiz ni kwa wenye magari binafsi tu kuna brt yani fasta uko homeDar ni Jiji au Sehemu chafu kuliko zote Tanzania, Watu wote wenye matatizo kichwani wanaishi Dar, Muda huu uliopost wapo kwenye foleni kufika Nyumbani saa tano za usiku, Dar baadhi ya maeneo hali ya hewa wanayovuta ni chafu yenye ukaa, Dar ni nzuri kwa wateule wachache wanaotembea na vingo 'ora wengine hali zao ni stress
Tumepost maelfu ya picha, wewe umechelewaNjoo ujibu mbona kimyaaa![]()
![]()
Weee foleni sikuhiz ni kwa wenye magari binafsi tu kuna brt yani fasta uko home
Unaongea Upumbavu Gani ,,,Huna Unachokijua Juu ya Jiji LetuDar ni Jiji au Sehemu chafu kuliko zote Tanzania, Watu wote wenye matatizo kichwani wanaishi Dar, Muda huu uliopost wapo kwenye foleni kufika Nyumbani saa tano za usiku, Dar baadhi ya maeneo hali ya hewa wanayovuta ni chafu yenye ukaa, Dar ni nzuri kwa wateule wachache wanaotembea na vingo 'ora wengine hali zao ni stress
Wewe unaongea kimhemko kama umepigwa stater huelewekiKinondoni kwa mtogole huko, Sinza, Msewe huko ni kuchafu kunanuka Plus wakazi wake wachafu mtu anaelekea kwake anaanza kununa, Au unaongelea mwenge huko nyumba ni slums hata pa kupita shidaa, Dar nzuri kwa wazee wa misafara aka ving'ora
Wewe unaongea kimhemko kama umepigwa stater hueleweki
Xanadu Mombasa
![]()
![]()
Unaongea Upumbavu Gani ,,,Huna Unachokijua Juu ya Jiji Letu