Kama naiona Shule yangu niliyosoma nikipindi ichooooo..
Well saidSwahiLi culture ipo Tanzania,, Nyie wakenya asiowajua Nani kuwa munaiga Tamaduni za nchi za watu ,,Hakuna Mulichokibakisha huko ,,, Iyacheni Tanzania Kama iLivo ,,Hamuipati kwa Lolote
Well said
Nimerudi nyumbanihaiya Umerudi!!
Du!! Ng'ombe!?Usielimishe hiyo ng'ombe mkuu, utajipa njaa bure. Keep on you good job. Tunafurahia picha zako murua toka Jiji la Africa Mashariki. Dar es Salaam.
if a Tz started a thread about Dar City gallary, no kenyan will post pics about a kenyan city, people will just comment on the pics (nefatively or positively) .....
But Tanzanians have to start posting there own pics on a kenyan thread that got nothing to do with tz............ it shows just how much inferiority complex you guys have..... trust your cities are good enough and be confident about it, why do you have to come here to start a campaign?
Sawa, umesomeka. But pleasé, just let this be about Mombasa. Pleaaaase.Ficha upumbavu wako
mlianza ujinga wenu ninyi wenyewe!!
Mlikuwa mkiitaja Dar kwa nini
ikiwa hii ni kuhusu Mombàsa pekee
Hata Malindi na Kilifi safi!!Lamu ndo mji ninao upenda kwa kenya ,,,Watu wastaharabu Kama sie Tusiopenda bughdha twatakiwa tukae sehem Kama Lamu ,watamu ,,,kwa Kenya [emoji16][emoji16]
Kabisa mkuu ,,Ebu naomba nitumie picha za warembo wa LamuHata Malindi na Kilifi safi!!
Nataka niunde undugu na kenya [emoji23][emoji23],,,Nije Nioe Lamu
Wa Amu ndio waswahiLi halisi ?? Na hao washanga ndio Mchanganyiko ?Kuna wa Amu Na Washanga, Washanga ni asili ya kiarabu na kichina, yani Shanghai
Very innocently charming swahili girls