apa ni Dara Slum
Yeah aka bandari salamaapa ni Dara Slum
yaani sijawahi kuona mtu mpumbavu kama game overArusha ina hotels nyingi , Mombasa two times, hapo achana na Zanzibar.
Nairobi kule ni Matope tu, hamna kitu kule zaidi ya real estate ambapo bado majority (2.5mn) wanaishi kibera.
Aaah! Mwehu mkubwaPumbavu mwenyewe mxiuuuuuuuüuuuuuuuhjjjjjj!!!!!!!!!
Nakuona ubwabwa wa mombasa unamtetea mchele wa kilifi [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]Aaah! Mwehu mkubwa
Ukimaliza kupost vipicha vya gorofa hizo tano vikiisha unaleta mambo ya vijiweni hapa, rudi kule ukachonge!
HHhhhhhhh! Wewe ni mchokozi sana, kwenye nyuzi zote, uchokoziNakuona ubwabwa wa mombasa unamtetea mchele wa kilifi [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
[emoji193][emoji193][emoji193][emoji193][emoji193][emoji193][emoji193][emoji193][emoji193][emoji193][emoji193]HHhhhhhhh! Wewe ni mchokozi sana, kwenye nyuzi zote, uchokozi
Ukianzia mwanzo mpaka mwisho
Kwenye picha 100
90 ni zilezile kujirudia rudia
Majengo ni Mawili
Unataka kujifariji ama vipi??
haya ni majumba mawili?? Kumbuka tulienda Nyumba kwa nyumba, mkatoroka, maksema hoteli kwa hoteli, makatoroka mkarudi na vipicha vya TPA
Mombasa inaizidi dar idadi ya makaoge tu [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]Hawajiwezi hawa... wachana nao.
Kuna kijana emefika kwenye uzi wa nairobi anaharibu na vipicha vya Dar es Slum, kuongea naye imekuwa shida, Depay, jaribu kumuelimisha hata kama ni vigumu kufanza mbongo!Hawajiwezi hawa... wachana nao.
We hushangai miji yenu yote mnacompare na Dar pekee...yani nai na Dar,uku mombasa na Dar. ...Dar ni kubwa kuliko Kenya ,hahahaAnd now comes the SGR and the Cruise Ship terminal
Port Station (SGR) For Cargo, reclaimed from the sea
SGR Mombasa West Station
In No time, Mombasa will be way ahead of Dar