Baada ya kutapika haya matapishi natumai umetosheka.Jamani salam bandugu...
Ndugu zangu wakenya........ule ndo mji wenu wa pili kwa ukubwa? MOMBASA?
Nilifika na sikupenda kabisa nilichokutana nacho. Uchafu kila mahali.....barabara mbovu mishimo imejaa majitaka looh!
Kile kituo chenu cha mabasi ndo kiliniacha hoi.
BADILIKENI watu tulikuwa na hamu na shauku ya kuuzuru mji ila sawa nimekubali hasara.
Kenya ni Nairobi tu miji mingine yote hamna kitu.
Hebu nikumbushe yenu ya pili ni gani tulinganishe [emoji849]Jamani salam bandugu...
Ndugu zangu wakenya........ule ndo mji wenu wa pili kwa ukubwa? MOMBASA?
Nilifika na sikupenda kabisa nilichokutana nacho. Uchafu kila mahali.....barabara mbovu mishimo imejaa majitaka looh!
Kile kituo chenu cha mabasi ndo kiliniacha hoi.
BADILIKENI watu tulikuwa na hamu na shauku ya kuuzuru mji ila sawa nimekubali hasara.
Kenya ni Nairobi tu miji mingine yote hamna kitu.
Jamani salam bandugu...
Ndugu zangu wakenya........ule ndo mji wenu wa pili kwa ukubwa? MOMBASA?
Nilifika na sikupenda kabisa nilichokutana nacho. Uchafu kila mahali.....barabara mbovu mishimo imejaa majitaka looh!
Kile kituo chenu cha mabasi ndo kiliniacha hoi.
BADILIKENI watu tulikuwa na hamu na shauku ya kuuzuru mji ila sawa nimekubali hasara.
Kenya ni Nairobi tu miji mingine yote hamna kitu.
Kumbe uko na ile ile ndoto yako ya kufika mombasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..usijali, itatimia tu...Yamekufika na wewe, Mbwembwe za wakenya wa Jamii forum zilinisomba Nikajichanganya nikatembelea Mwezi wa Tano aisee nilikoma, tena usithubutu ujichanganye uende kwenye hiyo migahawa hapo mjini, Hao jamaa ni Wachafu, Nilijuta.
Mbaya zaidi nilikuwa na Mama Watoto. Na Mpango wetu ulikuwa tukae hapo siku tatu tupande SGR hadi Nairobi, Safari yetu iliishia hapo tukarudi, Japo tulifurahia Mombasa kuna Ubber, Vinginevyo hapo sio Salama kuanzia mazingira mpaka usafiri wa umma.
Kumbe uko na ile ile ndoto yako ya kufika mombasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..usijali, itatimia tu...
Halafu mbna hkuwachukua watanzania wenzako pale coast bus wanavyohangaika kupiga debe...
Hukufanya fresh bana
Endelea kuzurura bro, mwisho wa siku unarudi bongolala kw vilaza wenzioWewe Bwege sio kila mtu humu ni Size yako, Mimi nimeshazurula sana Africa, Nimefika Asia na nimefika Europe.
Eti jamaa umefika asia europe halafu eti hata hela ya kukomboa hoteli km traveller imekushinda unaenda kula bondeni karibu na vibanda vya chania cool..Wewe Bwege sio kila mtu humu ni Size yako, Mimi nimeshazurula sana Africa, Nimefika Asia na nimefika Europe.
Sema tu hukua na pesa ya kutosha ya kukupeleka Nairobi maana Nairobi sio ya kila mtu. Maisha ni ghali kwa nyie wenye pesa madafu.Yamekufika na wewe, Mbwembwe za wakenya wa Jamii forum zilinisomba Nikajichanganya nikatembelea Mwezi wa Tano aisee nilikoma, tena usithubutu ujichanganye uende kwenye hiyo migahawa hapo mjini, Hao jamaa ni Wachafu, Nilijuta.
Mbaya zaidi nilikuwa na Mama Watoto. Na Mpango wetu ulikuwa tukae hapo siku tatu tupande SGR hadi Nairobi, Safari yetu iliishia hapo tukarudi, Japo tulifurahia Mombasa kuna Ubber, Vinginevyo hapo sio Salama kuanzia mazingira mpaka usafiri wa umma.
Huyo amefika Asia kwenye ndoto yake. Usimsikilize huyo.Eti jamaa umefika asia europe halafu eti hata hela ya kukomboa hoteli km traveller imekushinda unaenda kula bondeni karibu na vibanda vya chania cool..
We mzee utakua bahili
Europe wapi?Wewe Bwege sio kila mtu humu ni Size yako, Mimi nimeshazurula sana Africa, Nimefika Asia na nimefika Europe.
Mi kidogo kanichanganya huyu jomba languHuyo amefika Asia kwenye ndoto yake. Usimsikilize huyo.
Nimecheka sanaHuyo amefika Asia kwenye ndoto yake. Usimsikilize huyo.
Game over aliyasema humu Au ulienda kupima maneno yake?Jamani salam bandugu...
Ndugu zangu wakenya........ule ndo mji wenu wa pili kwa ukubwa? MOMBASA?
Nilifika na sikupenda kabisa nilichokutana nacho. Uchafu kila mahali.....barabara mbovu mishimo imejaa majitaka looh!
Kile kituo chenu cha mabasi ndo kiliniacha hoi.
BADILIKENI watu tulikuwa na hamu na shauku ya kuuzuru mji ila sawa nimekubali hasara.
Kenya ni Nairobi tu miji mingine yote hamna kitu.
Sijui ndio Tangatanga ama Mwanza.ππHebu nikumbushe yenu ya pili ni gani tulinganishe [emoji849]