Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,074
Jamani salam bandugu...
Ndugu zangu wakenya........ule ndo mji wenu wa pili kwa ukubwa? MOMBASA?
Nilifika na sikupenda kabisa nilichokutana nacho. Uchafu kila mahali.....barabara mbovu mishimo imejaa majitaka looh!
Kile kituo chenu cha mabasi ndo kiliniacha hoi.
BADILIKENI watu tulikuwa na hamu na shauku ya kuuzuru mji ila sawa nimekubali hasara.
Kenya ni Nairobi tu miji mingine yote hamna kitu.
Ndugu zangu wakenya........ule ndo mji wenu wa pili kwa ukubwa? MOMBASA?
Nilifika na sikupenda kabisa nilichokutana nacho. Uchafu kila mahali.....barabara mbovu mishimo imejaa majitaka looh!
Kile kituo chenu cha mabasi ndo kiliniacha hoi.
BADILIKENI watu tulikuwa na hamu na shauku ya kuuzuru mji ila sawa nimekubali hasara.
Kenya ni Nairobi tu miji mingine yote hamna kitu.