1.Nairobi1.Dar es Salaam
2. Nairobi
3. Zanzibar
4. Mambasa
5. Mwanza
6.Arusha
7. Dodoma
8.Kisumu
9. Mbeya
10. Eldoret
Marsabit town is far better than Mwanza
Hauna aibu kuringa na majengo ya kawaida?
Kiaumu ndio wapi sasa?
Marsabit town is far better than MwanzaView attachment 1242986
If this is the way you want us to go I'll gladly do it [emoji23][emoji23]
Go get your head checked before comparing those villages to Kisumu
Aisee, unahitaji maombi. Kwa kifupi ndio huwa wanasema LMAO, 'phrase' ambayo huwa naiona kila sehemu mitandaoni. Phrase kama hizo kwa kiingereza huwa wanaziiita 'idioms' na huwa sio 'literal'. Kwa mfano, biting the bullet(kufanya kitu ambacho hakikufurahishi, kwasababu huna option nyingine), kicking the bucket(kufa), taking the bull by its horns, n.k., n.k.
Bro, how do u laugh your ass out?
1.Dar es Salaam
2. Nairobi
3. Zanzibar
4. Mambasa
5. Mwanza
6.Arusha
7. Dodoma
8.Kisumu
9. Mbeya
10. Eldoret
Kemu ndio umaanisha niniKemu changanua hyo sentensi kwanza, then ukishamaliza ndio uulize swali
Kemu ndio umaanisha nini
Kampala kuna bypass ngapi? Basi wewe hujui ulisemalo, Kampala ina bypass moja tu ya maana ni Ile ya Entebbe road ambayo imejengwa tu juzi na Ile ya Jinja road pale nambole stadium ( bweyogerere) halafu pia hadhi yake ya chini mno nitajie bypass nyengine Uganda.Bypass mbona Kampala zipo nyingi? Mombasa ndo wanataka kujenga!!!
Mombasa is on another levelMabasi mapya yatakayofanya usafiri ndani Ya Jiji la Mombasa yametinga.View attachment 1244360View attachment 1244361View attachment 1244362View attachment 1244363
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
I tell you, haters waanza kujitia kitanza mapema maana Kwa hii Kasi ya Mombasa Dar haina lake.Mombasa is on another level
Hivi Dar inawanyima usingizi eeh!!I tell you, haters waanza kujitia kitanza mapema maana Kwa hii Kasi ya Mombasa Dar haina lake.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Dar level yake Mombasa buanah usilete masihara.Hivi Dar inawanyima usingizi eeh!!
Fanyeni yenu wazee, sijui Dar iliwanfanya nin!!?
Dar vs NBO mnalia lia
na sasa mnataka Dar vs MSA!! kisa uto tubasi?? heb acheni masihara basi
shame!!
Siko Dar itakuwa na barabara kama hii hapa unitag tafadhaliHivi Dar inawanyima usingizi eeh!!
Fanyeni yenu wazee, sijui Dar iliwanfanya nin!!?
Dar vs NBO mnalia lia
na sasa mnataka Dar vs MSA!! kisa uto tubasi?? heb acheni masihara basi
shame!!