Mombasa is now 2nd most developed EAC city after Nairobi

Mombasa is now 2nd most developed EAC city after Nairobi

1.Dar es Salaam
2. Nairobi
3. Zanzibar
4. Mambasa
5. Mwanza
6.Arusha
7. Dodoma
8.Kisumu
9. Mbeya
10. Eldoret
1.Nairobi
2.Dar Es Saalam
3Mombasa
4.Kisumu
5.Nakuru
6Arusha
7.Eldoret
8.Zanzibar
9.Mwanza
10.Kisii
 
Moshi Town, Is far better and Developed than Kiaumu
View attachment 1242966View attachment 1242977
Marsabit town is far better than Mwanza
IMG_20180528_174624_135-e1527943963920.jpg
 
Yani umeacha mda unamfundisha huyo mkada wa ccm vitu hvyo..
Kwn basi huyo jamaa ywajua nn zaidi ya jf..vitu km hvo hawez kutana navyo maishani mwake..ndio kwanza anaviona tu mitandaoni...
Aisee, unahitaji maombi. Kwa kifupi ndio huwa wanasema LMAO, 'phrase' ambayo huwa naiona kila sehemu mitandaoni. Phrase kama hizo kwa kiingereza huwa wanaziiita 'idioms' na huwa sio 'literal'. Kwa mfano, biting the bullet(kufanya kitu ambacho hakikufurahishi, kwasababu huna option nyingine), kicking the bucket(kufa), taking the bull by its horns, n.k., n.k.
 
Bypass mbona Kampala zipo nyingi? Mombasa ndo wanataka kujenga!!!
 
Zanzibar a country,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanza jamani,
Dodoma yenye imeanza kuwekwa lami juzi..duh!!kwel umechanganyikiwa
1.Dar es Salaam
2. Nairobi
3. Zanzibar
4. Mambasa
5. Mwanza
6.Arusha
7. Dodoma
8.Kisumu
9. Mbeya
10. Eldoret
 
Bypass mbona Kampala zipo nyingi? Mombasa ndo wanataka kujenga!!!
Kampala kuna bypass ngapi? Basi wewe hujui ulisemalo, Kampala ina bypass moja tu ya maana ni Ile ya Entebbe road ambayo imejengwa tu juzi na Ile ya Jinja road pale nambole stadium ( bweyogerere) halafu pia hadhi yake ya chini mno nitajie bypass nyengine Uganda.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom