Mombasa is now 2nd most developed EAC city after Nairobi

Ipambane na kinondoni municipal wala sio Dar
Dar mna nini ya kuisifia sana,It's msuch an ordinary place with a seaboard and 2-3 skyscrapers and a huge slum area
 
Dar mna nini ya kuisifia sana,It's msuch an ordinary place with a seaboard and 2-3 skyscrapers and a huge slum area
Wachawi labda mnanamna ya kuwasiliana mi hua sielewi unayosema
 
This park is just awesome. With its Swahili Architecture.
 

Attachments

  • IMG_20191104_183248.jpg
    106.8 KB · Views: 1
Mombasa Raha,cheki pia kilindini ilivyo.
 

Attachments

  • With%20every%20new%20day%20comes%20%20new%20strength%20and%20new%20thoughts%20~Eleanor%20Roos...jpeg
    78.3 KB · Views: 1
Watamu ni patamu sana.
 

Attachments

  • The%20best%20dreams%20happen%20when%20you're%20awake%20~anonymous%20-%20Microdroneafrica%20-%...jpeg
    44.9 KB · Views: 2
Halafu niwakumbushie wale wanaikosea Nairobi heshima kwa kuitaja humu, wafahamu uchumi wa Nairobi pekee unatoshana na wa Tanzania yote,
acha dharau za kijinga mpuuzi wewe ? eti uchumi wa Nairobi ni sawa na Tanzania nzima ? shenzi kabisa. Unaijua Mwanza ? Unaijua Arusha na Mbeya? acheni ujinga na Nairobi yenu. Hapo bado hatujaweka gold belt regions. Tanzania ni zaidi ya unavyoijua, by the way njoo nikutembeze Tanzania naona huijui vizuri
 

Vitu gani unavyonitajia, nakuambia uchumi wa Tanzania yote kuanzia visiwani hadi mikoani unatoshana na GDP ya Nairobi pekee, jua kwmba kwa sasa Kenya inakaribia kuwa mara mbili ya Tanzania kiuchumi.
 
Wa coast ni ndugu zenyu, uswahili ni laana ya kiaina., yaani tabia zinafanana, ukarimu(a plus) na uzembe(a negative), ama tusingizie joto ya pwani?
Hii city yenu imejaa wazembe tu
 
Outside Dar kuna city level ya Mombasa in Tz?., kiukweli?
Ukitoa league pembeni hata wewe utaona aibu kwa vitu unavyovipost unless hujawahi kukanyaga DSM. By the way hongereni kwa maendeleo maana at least Mombasa inaanza kupendeza
 
Wa coast ni ndugu zenyu, uswahili ni laana ya kiaina., yaani tabia zinafanana, ukarimu(a plus) na uzembe(a negative), ama tusingizie joto ya pwani?
Uvivu Ni Tabia za watu wa Pwani ya Africa mashariki...Mimi nimekulia Klm kule uzembe hauna nafasi kabisa, Kama ni Shule utaenda na kazi utafanya, Pwani wamerelax wali nazi utakua unalegeza misuli[emoji3][emoji3][emoji3](I'm joking)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…