tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Ipambane na kinondoni municipal wala sio DarMombasa is persistently moving towards beating Dar hands down.
View attachment 1253972
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipambane na kinondoni municipal wala sio DarMombasa is persistently moving towards beating Dar hands down.
View attachment 1253972
Dar mna nini ya kuisifia sana,It's msuch an ordinary place with a seaboard and 2-3 skyscrapers and a huge slum areaIpambane na kinondoni municipal wala sio Dar
Na dar ni kichinjio cha AlbinoNairobi Ni tundu la choo
Wachawi labda mnanamna ya kuwasiliana mi hua sielewi unayosemaDar mna nini ya kuisifia sana,It's msuch an ordinary place with a seaboard and 2-3 skyscrapers and a huge slum area
These projects and other upcoming ones now have seen Mombasa become the 2nd most developed city in EAC.
Upcoming Mombasa Northern Bypass
Dongo Kundu Bypass
Dongo Kundu Special Economic Zone
Uhuru Kenyatta speech at the launch of Toyota Hilux Kenya new assembly plant in Mombasa
View attachment 1241099
View attachment 1241100
View attachment 1241101
Ukitoa league pembeni hata wewe utaona aibu kwa vitu unavyovipost unless hujawahi kukanyaga DSM. By the way hongereni kwa maendeleo maana at least Mombasa inaanza kupendeza
Swali la kijuha hiliWewe unajua unachosema kweli?
Hii city yenu imejaa wazembe tu
Hii city yenu imejaa wazembe tu
acha dharau za kijinga mpuuzi wewe ? eti uchumi wa Nairobi ni sawa na Tanzania nzima ? shenzi kabisa. Unaijua Mwanza ? Unaijua Arusha na Mbeya? acheni ujinga na Nairobi yenu. Hapo bado hatujaweka gold belt regions. Tanzania ni zaidi ya unavyoijua, by the way njoo nikutembeze Tanzania naona huijui vizuriHalafu niwakumbushie wale wanaikosea Nairobi heshima kwa kuitaja humu, wafahamu uchumi wa Nairobi pekee unatoshana na wa Tanzania yote,
acha dharau za kijinga mpuuzi wewe ? eti uchumi wa Nairobi ni sawa na Tanzania nzima ? shenzi kabisa. Unaijua Mwanza ? Unaijua Arusha na Mbeya? acheni ujinga na Nairobi yenu. Hapo bado hatujaweka gold belt regions. Tanzania ni zaidi ya unavyoijua, by the way njoo nikutembeze Tanzania naona huijui vizuri
Hii city yenu imejaa wazembe tu
Ukitoa league pembeni hata wewe utaona aibu kwa vitu unavyovipost unless hujawahi kukanyaga DSM. By the way hongereni kwa maendeleo maana at least Mombasa inaanza kupendeza
Uvivu Ni Tabia za watu wa Pwani ya Africa mashariki...Mimi nimekulia Klm kule uzembe hauna nafasi kabisa, Kama ni Shule utaenda na kazi utafanya, Pwani wamerelax wali nazi utakua unalegeza misuli[emoji3][emoji3][emoji3](I'm joking)Wa coast ni ndugu zenyu, uswahili ni laana ya kiaina., yaani tabia zinafanana, ukarimu(a plus) na uzembe(a negative), ama tusingizie joto ya pwani?