Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,666
- 847
GDP ya Nairobi ni kiasi gani? Hebu twende kwa data. Na unitajie GDP ya Kenya na Tanzania kwa pamoja tuthibitishe madai yakoVitu gani unavyonitajia, nakuambia uchumi wa Tanzania yote kuanzia visiwani hadi mikoani unatoshana na GDP ya Nairobi pekee, jua kwmba kwa sasa Kenya inakaribia kuwa mara mbili ya Tanzania kiuchumi.
Uvivu Ni Tabia za watu wa Pwani ya Africa mashariki...Mimi nimekulia Klm kule uzembe hauna nafasi kabisa, Kama ni Shule utaenda na kazi utafanya, Pwani wamerelax wali nazi utakua unalegeza misuli[emoji3][emoji3][emoji3](I'm joking)
[emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] isorait kaka[emoji23]
hivi unajua madhara ya kukuacha na ujinga unaoufanya kwa makusudi ni kuwa mpumbavu??Vitu gani unavyonitajia, nakuambia uchumi wa Tanzania yote kuanzia visiwani hadi mikoani unatoshana na GDP ya Nairobi pekee, jua kwmba kwa sasa Kenya inakaribia kuwa mara mbili ya Tanzania kiuchumi.
Wewe mtu wa Tandahimba unafaidika vipi na uwepo wa ghorofa refu pale Dsm ?Jengo refu kuliko yote ea ni tpa pale dar, 3level fly over ipo dar pale ubungo, bado mabasi ya mwendo kasi only in dar..tell us wich thing is special found in nairobery?
inabidi kwanza umwambie anfaidikaje n uwepo wa huyo mtu wa tandahimba.Wewe mtu wa Tandahimba unafaidika vipi na uwepo wa ghorofa refu pale Dsm ?
Ameandika nni mkuu ?inabidi kwanza umwambie anfaidikaje n uwepo wa huyo mtu wa tandahimba.
maana ni kama hawana uhusiano hivi.
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
hivi unajua madhara ya kukuacha na ujinga unaoufanya kwa makusudi ni kuwa mpumbavu??
nairobi GDP ni kubwa kuliko ya tz[emoji16][emoji16][emoji16].umefurahi sasa eh.
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
mombasa hiyo iko league za nairobi nduguye,wala hatuifikiii[emoji16][emoji16][emoji16].Nyie kwa sasa fukuzaneni na Mombasa, ndio saizi yenu hapa Mombasa is now 2nd most developed EAC city after Nairobi
kwani tuna compare vp ubora wa mji bila kutaja miuondo mbinu ya majengo ,barabara, na madaraja? Au ulitaka nitaje minazi?Wewe mtu wa Tandahimba unafaidika vipi na uwepo wa ghorofa refu pale Dsm ?
Korosho zake zinapotaka kusafirishwa nje ya nje mhusika ndani ya jengo lile hu-process documents za usafirishaji wake!Kwa maana ya miundombinunya barabara,utalii,ukubwa wa bandari na mipango miji Mombasa inaizidi Dar mbali sana lakini in terms of GDP na majengo marefu bado saana ila kongole kwa Mombasa maana ni kati ya majiji makubwa EAC,
Ni kweli outside dar hakuna mji Tz ulioizidi Mombasa. Ila pia hata uchumi wa Mombasa sio mkubwa kivile. Sababu GDP ya Mombasa ni $8 Billions..Sisi ya mji wetu wa pili Mwanza ni $4 Billions.. Hivyo msiuoverrate kihivyo.Outside Dar kuna city level ya Mombasa in Tz?., kiukweli?
Na haina 5 star hotel!!!Mombasa is persistently moving towards beating Dar hands down.
View attachment 1253972
Mombasa haina 5 star bhana 🤣 🤣
Zimefika wapi Mkuu? Tupe updatesIt's good when Mombasa n it's peer Tanga the EA capital of oil businesses r connected! JPM is way smarter than people could ever believe!