Dah hiyo username kibokoHii ni kutokana na kushamiri kwa matukio ya ukwapuaji hasa kwa watu wanaotoka kwenye sherehe majira ya usiku.
Polisi wanasema mwisho wa sherehe itakuwa saa 4:00 Usiku na atakayezidisha mda huo lazima aombe kibali maalumu na kulipia gharama za askari watakaotoa ulinzi baada ya muda huo.
Night weddings banned in Mombasa
Baikokovigodoro